Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Matokeo ya Yanga Leo ni Kosa La Uongozi wa Yanga katika Kumshauri Kocha Mpya.

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Mawaiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2011
      Posts : 327
      Rep Power : 440
      Likes Received
      136
      Likes Given
      25

      Default Matokeo ya Yanga Leo ni Kosa La Uongozi wa Yanga katika Kumshauri Kocha Mpya.

      Kwa mtazamo wangu uongozi wa Yanga ulitakiwa kumshauri kocha mpya kuwa mshauri wa Minziro. Issue ilitakiwa kuwa hivi:- Kwa kuwa kocha mpya hakuwa anaijuwa Yanga vizuri, nikiwa na maaea ya kuwajua wachezaji wake na formation yake, kilichotakiwa kufanywa na uongozi wa Yanga ni kumshauri kocha huyo mpya kuuangalia uchezaji wa timu kabla ya kumpa majukumu yote kabla ya kumpa majukumu yote kama ilivyofanyika leo.

    2. Miaka 50

    3. #2
      hovyohovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 487
      Rep Power : 442
      Likes Received
      123
      Likes Given
      38

      Default Re: Matokeo ya Yanga Leo ni Kosa La Uongozi wa Yanga katika Kumshauri Kocha Mpya.

      Tayari mshaanza kulonga. Mpeni nafasi kocha atengeneze timu. Pili mkubali kuwa hata timu ikiwa nzuri, hufungwa nyakati fulani.

    4. #3
      Ngarna's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 365
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Matokeo ya Yanga Leo ni Kosa La Uongozi wa Yanga katika Kumshauri Kocha Mpya.

      Uongozi upi tena.Si yupo kocha Minziro.Kocha wa Atletico amesema kwamba alidhani Yanga wangecheza mpira wa kukimbiza ambao ndio asili yao. Walipowaiga Atletico na kujaribu kumiliki mpira ndio mambo yakaharibika.

    5. #4
      Mafuluto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2009
      Posts : 793
      Rep Power : 2971
      Likes Received
      165
      Likes Given
      306

      Default Re: Matokeo ya Yanga Leo ni Kosa La Uongozi wa Yanga katika Kumshauri Kocha Mpya.

      ...Washaanza...lol !! Mlipokuwa mnaimba sasa YY ni kama Brasili haikuwa kosa la uongozi ? Tegete huyu anajulikana, kafunga magoli 2 ya offside kelele mingiii ohh sasa ni mtoto kondric alikuwa anambania...mara ohh leo alikuwa off-form. Huyu ni off-form kila siku/....

      Punguzeni domo, mwache atengeneze timu. Na mjue hela za ufisadi zina mikosi, ni hela za watanganyika wanaokufa njaa kila siku...!!

    6. #5
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,790
      Rep Power : 727
      Likes Received
      179
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mafuluto
      ...Washaanza...lol !! Mlipokuwa mnaimba sasa YY ni kama Brasili haikuwa kosa la uongozi ? Tegete huyu anajulikana, kafunga magoli 2 ya offside kelele mingiii ohh sasa ni mtoto kondric alikuwa anambania...mara ohh leo alikuwa off-form. Huyu ni off-form kila siku/....

      Punguzeni domo, mwache atengeneze timu. Na mjue hela za ufisadi zina mikosi, ni hela za watanganyika wanaokufa njaa kila siku...!!
      sasa hela za ufisadi tuziache ziende tu si heri zibaki hapahapa tanzania, kuliko wakina MO wanaokimbia nazo warabuni. Shukran kwa manji kwa kutopeleka hela zake zote uswis

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      daniel don's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 355
      Likes Received
      3
      Likes Given
      45

      Default Re: Matokeo ya Yanga Leo ni Kosa La Uongozi wa Yanga katika Kumshauri Kocha Mpya.

      Quote By Mawaiba
      Kwa mtazamo wangu uongozi wa Yanga ulitakiwa kumshauri kocha mpya kuwa mshauri wa Minziro. Issue ilitakiwa kuwa hivi:- Kwa kuwa kocha mpya hakuwa anaijuwa Yanga vizuri, nikiwa na maaea ya kuwajua wachezaji wake na formation yake, kilichotakiwa kufanywa na uongozi wa Yanga ni kumshauri kocha huyo mpya kuuangalia uchezaji wa timu kabla ya kumpa majukumu yote kabla ya kumpa majukumu yote kama ilivyofanyika leo.
      Ni mapema sana kaka kutoa lawama kwa uongozi au kamati ya ufundi, hayo ni matokeo ya kawaida kwa mpira wa miguu
      Hata Warundi nao wamekuja kusaka kombe..Kuna timu nyingi zina maandalizi ya kutosha lakini bado zinapoteza michezo.
      Vuta subira kuanza vibaya si kumaliza vibaya...Yawezekana Yanga ikawa bingwa tena!

    9. #7
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 725
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Matokeo ya Yanga Leo ni Kosa La Uongozi wa Yanga katika Kumshauri Kocha Mpya.

      Quote By daniel don
      Ni mapema sana kaka kutoa lawama kwa uongozi au kamati ya ufundi, hayo ni matokeo ya kawaida kwa mpira wa miguu
      Hata Warundi nao wamekuja kusaka kombe..Kuna timu nyingi zina maandalizi ya kutosha lakini bado zinapoteza michezo.
      Vuta subira kuanza vibaya si kumaliza vibaya...Yawezekana Yanga ikawa bingwa tena!
      Well said Kiongozi,team imekaa pamoja masiku kibao imekwenda kushiriki kombe la ujirani sijui urafiki mwema na kuchukua kombe lkn bado wamechezea,itakuwa Yanga?!!

    10. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...