Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 29
    1. #1
      Intellect's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 418
      Likes Received
      11
      Likes Given
      16

      Default Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na viongozi wa timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars akiwemo Coach alie bwaga manyanga kuifundisha timu hiyo mara baada ya kushindwa kufuzu na hivyo kufuta ndoto za kucheza mashindano ya dunia, zinasema kwamba moja kati ya sababu kubwa inayo kwamisha ufanisi wa timu hiyo ni wachezaji kujishughulisha na vitendo vya kifedhuli ikiwemo mapenzi ya jinsia moja (Usagaji) hata wakiwa kambini!

    2. Miaka 50

    3. #2
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,361
      Rep Power : 1063
      Likes Received
      590
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Intellect
      Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na viongozi wa timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars akiwemo Coach alie bwaga manyanga kuifundisha timu hiyo mara baada ya kushindwa kufuzu na hivyo kufuta ndoto za kucheza mashindano ya dunia, zinasema kwamba moja kati ya sababu kubwa inayo kwamisha ufanisi wa timu hiyo ni wachezaji kujishughulisha na vitendo vya kifedhuli ikiwemo mapenzi ya jinsia moja (Usagaji) hata wakiwa kambini!
      Source

    4. #3
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Tutasikia mengi......

    5. #4
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      heee makubwa! Kumbe hata wanamichezo wanajishuhulisha na mambo hizo!?

    6. #5
      MCHONGANISHI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Location : Matejooo
      Posts : 135
      Rep Power : 432
      Likes Received
      31
      Likes Given
      15

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Kwani walikuwa wanasagana wakati mechi ikiendelea au? Ka ni nje ya uwanja hiyo sio sababu Mbona kuna mafootballers mashoga afu wanakipiga fresh tu! Wameshindwa hawawezi full stop msilete mbwembwe
      "Religion is like opium to the poor" Karl Marx


    7. #6
      Intellect's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 418
      Likes Received
      11
      Likes Given
      16

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Jambo, TBC, Friday June 22nd.

    8. #7
      Intellect's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 418
      Likes Received
      11
      Likes Given
      16

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Quote By zubedayo_mchuzi
      Source
      Jambo, TBC, Friday June 22nd.

    9. #8
      pinkmousse's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : Around the corner
      Posts : 217
      Rep Power : 423
      Likes Received
      78
      Likes Given
      171

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Nani aliwapiga chabo? why are they complaining now instead of dealing with issue by talking to the girls?
      Don't sleep with anger!

    10. #9
      Newvision's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Posts : 443
      Rep Power : 521
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Haya ni maneno machafu na hayana mashiko

    11. #10
      happiness win's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,187
      Rep Power : 628
      Likes Received
      442
      Likes Given
      141

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Kama ni kweli wanaendekeza usagaji, wamekwisha; hakuna cha maana kitakachofanyika. Jitihada za kuwanusuru zifanyike

    12. #11
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,800
      Rep Power : 2150
      Likes Received
      1225
      Likes Given
      547

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      duh tuhuma nzito saaana hizo

    13. #12
      andate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2011
      Posts : 1,193
      Rep Power : 641
      Likes Received
      403
      Likes Given
      2187

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Quote By Intellect
      Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na viongozi wa timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars akiwemo Coach alie bwaga manyanga kuifundisha timu hiyo mara baada ya kushindwa kufuzu na hivyo kufuta ndoto za kucheza mashindano ya dunia, zinasema kwamba moja kati ya sababu kubwa inayo kwamisha ufanisi wa timu hiyo ni wachezaji kujishughulisha na vitendo vya kifedhuli ikiwemo mapenzi ya jinsia moja (Usagaji) hata wakiwa kambini!
      asante kwa kutufahamisha. Hivi na timu yetu ya taifa(wanaume) tatizo la kushindwa kwake kufuzu ni lipi?

    14. #13
      yahoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 627
      Rep Power : 394
      Likes Received
      107
      Likes Given
      23

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Kwani inazuia mtu asicheze vizuri?! Mbona kuna wachezaji walioolewa,waliooa, mashoga na wanapiga soka freshi

    15. #14
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      nani aliiloga hii nchi???? kha!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    16. #15
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,231
      Rep Power : 12019
      Likes Received
      2672
      Likes Given
      1584

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Hii habari naweza kuithibitisha kwamba ni kweli. na ni tabia za mda mrefu. Hii hali ni kutokana na tabia walizoendekeza. kwa mfano kuruhusu wanawake kwenda kambini bila kikwazo.
      Karibia wachezaji wote wa twiga wanajiona ka madume kwa kwenda kutafuta mademu mitaani. hata siku moja hutawaona wamevaa sketi, wao ni suruali hata kukojoa wanakojoa vyoo vya kiume iwe hotelini au bar.kuna wasichana wanne nawafahamu kwa majina ambao wanasagana na mademu zao nawafahamu nao wananifahamu pia. mwataka ushahidi?. mia

    17. #16
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,129
      Rep Power : 5481
      Likes Received
      3530
      Likes Given
      1950

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Quote By andate
      asante kwa kutufahamisha. Hivi na timu yetu ya taifa(wanaume) tatizo la kushindwa kwake kufuzu ni lipi?
      Timu imejaa mashoga nisiulizwe source!

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    18. #17
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Usagaji sio sababu ya kushindwa. Wanamichezo wana libido ya hali ya juu hivyo kujamiina ni kitu natural biologically

    19. #18
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Intellect
      Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na viongozi wa timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars akiwemo Coach alie bwaga manyanga kuifundisha timu hiyo mara baada ya kushindwa kufuzu na hivyo kufuta ndoto za kucheza mashindano ya dunia, zinasema kwamba moja kati ya sababu kubwa inayo kwamisha ufanisi wa timu hiyo ni wachezaji kujishughulisha na vitendo vya kifedhuli ikiwemo mapenzi ya jinsia moja (Usagaji) hata wakiwa kambini!
      inalillah wainnailah rajiuun,,,,,
      hii ni tuhuma nzito sana na ni bonge la kashfa,,,kwenu TFF,jana Wambura nilimsikia akihojiwa redio wani stirio,alisema wanasubir ripot ya kocha(mkwasa),hakutaka kabisa kuliongelea hili,,,,duh

    20. #19
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3776
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      369

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Quote By Intellect
      Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na viongozi wa timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars akiwemo Coach alie bwaga manyanga kuifundisha timu hiyo mara baada ya kushindwa kufuzu na hivyo kufuta ndoto za kucheza mashindano ya dunia, zinasema kwamba moja kati ya sababu kubwa inayo kwamisha ufanisi wa timu hiyo ni wachezaji kujishughulisha na vitendo vya kifedhuli ikiwemo mapenzi ya jinsia moja (Usagaji) hata wakiwa kambini!
      Quote By happiness win
      Kama ni kweli wanaendekeza usagaji, wamekwisha; hakuna cha maana kitakachofanyika. Jitihada za kuwanusuru zifanyike
      @above posters: maneno ya mkosaji tu! hakuna lolote wameshindwa kufuzu na wameshindwa hata kutoa sababu zenye maana. DOUBLE FAIL

      Quote By MCHONGANISHI
      Kwani walikuwa wanasagana wakati mechi ikiendelea au? Ka ni nje ya uwanja hiyo sio sababu Mbona kuna mafootballers mashoga afu wanakipiga fresh tu! Wameshindwa hawawezi full stop msilete mbwembwe
      Quote By yahoo
      Kwani inazuia mtu asicheze vizuri?! Mbona kuna wachezaji walioolewa,waliooa, mashoga na wanapiga soka freshi
      @Mchonganishi , Yahoo: apparently they have never heard of the gayolympics
      on jf hiatus

    21. #20
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,067
      Rep Power : 9502
      Likes Received
      3186
      Likes Given
      1237

      Default Re: Usagaji waifanya Twiga Stars Ishindwe Kufuzu

      Hivi alikuwa anawachungulia?
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...