Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Simba na Nyoso

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      FILOMBE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd March 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 370
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Simba na Nyoso

      Habari wana JF, nafuatilia kwa makini kipindi hiki cha usajili wa wachezaji wa timu zetu kuelekea msimu mwingine wa ligi kuu ya Tanzania kwa timu zetu hizi za Bongo. Ukifuatilia kwa kina utaona vyombo vingi vya habari vinatupia macho klabu kubwa za Yanga na Simba na sasa kwa kiasi fulani klabu ya Azam.

      Nimesoma na kusikia kwamba klabu ya Simba ina mpango wa kumtupia virago beki wake wa kata Juma Nyoso. Mie, kwa mtizamo wangu naona kama Simba hapo watakuwa wamechemsha kabisa, sababu kubwa wanatoa ni kwamba beki huyu wa kati amekuwa akiigharimu timu. Naomba niseme mie nimekuwa nafuatilia michezo mingi ya klabu ya Simba dhidi ya timu pinzani na sijaona kama Juma Nyoso anastahili kutupiwa vilago.

      My take:

      Klabu za Simba na Yanga ni chanzo cha kuharibu vipaji kwa wachezaji chipukizi, kumbuka suala la Athuman Idd na sasa Kevin Yondan. Jamani wachezaji muwe makini.

      Naomba tujadili.
      Last edited by FILOMBE; 8th June 2012 at 11:38. Reason: Jina huanzwa kwa herufi kubwa

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Masuke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2008
      Posts : 2,185
      Rep Power : 1011
      Likes Received
      385
      Likes Given
      82

      Default Re: Simba na Nyoso

      Ni kweli Nyoso ni mzuri ila ni kweli pia Nyoso amekuwa akipata red card rahisi sana na kama viongozi wamepata mbadala mwingine la labda hayupo kwenye mipango ya kocha sioni ubaya wowote wakimalizana naye kwa amani.

    4. #3
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Simba na Nyoso

      Mara nyingi issue za aina ya saga la Nyoso na Simba hutokana na falsafa ya Mwalimu husika,inavyoonekana type ya uchezaji wa Nyoso iko tofauti na falsafa ya Mwalimu wa Simba anayoitaka team icheze ndo maana wanaona kama hatawafaa lkn kwa mtazamo wangu kama ni suala la kuigharimu team Nyoso ameisaidia zaidi Simba kuliko kuigharimu,ukichukulia amecheza mechi karibu zote za Simba kwa msimu huu uliomalizika,isitoshe ukichanganya na hili suala la Yondan kuelekea Yanga, Simba watakuwa wamefanya bonge la mistake kama watampoteza Nyoso

    5. #4
      Ngarna's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 366
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Simba na Nyoso

      Quote By Anselm
      Mara nyingi issue za aina ya saga la Nyoso na Simba hutokana na falsafa ya Mwalimu husika,inavyoonekana type ya uchezaji wa Nyoso iko tofauti na falsafa ya Mwalimu wa Simba anayoitaka team icheze ndo maana wanaona kama hatawafaa lkn kwa mtazamo wangu kama ni suala la kuigharimu team Nyoso ameisaidia zaidi Simba kuliko kuigharimu,ukichukulia amecheza mechi karibu zote za Simba kwa msimu huu uliomalizika,isitoshe ukichanganya na hili suala la Yondan kuelekea Yanga, Simba watakuwa wamefanya bonge la mistake kama watampoteza Nyoso
      Anselm kazi ya ofisa habari wa Simba itakuwa wazi mkataba wa Kimwanga unaelekea kwisha.Ungefaa kwa kazi
      hiyo kwani ama upo addicted na Simba au wewe ni Simba in disguise.Nasema haya kwa sababu cheki habari zinazohusu
      Simba kwenye posts zako utakuta ni asilimia kubwa sana.

    6. #5
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Simba na Nyoso

      Quote By Ngarna
      Anselm kazi ya ofisa habari wa Simba itakuwa wazi mkataba wa Kimwanga unaelekea kwisha.Ungefaa kwa kazi
      hiyo kwani ama upo addicted na Simba au wewe ni Simba in disguise.Nasema haya kwa sababu cheki habari zinazohusu
      Simba kwenye posts zako utakuta ni asilimia kubwa sana.
      Mkuu Ngarna,
      Kama ilivyo kwa Mtanzania yeyote yule,katiba inaniruhusu kutoa maoni yangu kitu ninachokifanya hapa,Simba mimi hawawezi kuniajiri ksbb Mshahara wangu hawatauweza,kama walikuwa wanamlipa Yondani Gross ya Laki 4,mimi wataweza wapi?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Masuke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2008
      Posts : 2,185
      Rep Power : 1011
      Likes Received
      385
      Likes Given
      82

      Default

      Quote By Anselm
      Mkuu Ngarna,
      Kama ilivyo kwa Mtanzania yeyote yule,katiba inaniruhusu kutoa maoni yangu kitu ninachokifanya hapa,Simba mimi hawawezi kuniajiri ksbb Mshahara wangu hawatauweza,kama walikuwa wanamlipa Yondani Gross ya Laki 4,mimi wataweza wapi?
      Huendi kuchukua nafasi ya Yondani utachukua nafasi ya Ezekiel Kamwaga.

    9. #7
      mmteule's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 241
      Rep Power : 434
      Likes Received
      55
      Likes Given
      4

      Default Re: Simba na Nyoso

      Quote By FILOMBE
      Habari wana JF, nafuatilia kwa makini kipindi hiki cha usajili wa wachezaji wa timu zetu kuelekea msimu mwingine wa ligi kuu ya Tanzania kwa timu zetu hizi za Bongo. Ukifuatilia kwa kina utaona vyombo vingi vya habari vinatupia macho klabu kubwa za Yanga na Simba na sasa kwa kiasi fulani klabu ya Azam.

      Nimesoma na kusikia kwamba klabu ya Simba ina mpango wa kumtupia virago beki wake wa kata Juma Nyoso. Mie, kwa mtizamo wangu naona kama Simba hapo watakuwa wamechemsha kabisa, sababu kubwa wanatoa ni kwamba beki huyu wa kati amekuwa akiigharimu timu. Naomba niseme mie nimekuwa nafuatilia michezo mingi ya klabu ya Simba dhidi ya timu pinzani na sijaona kama Juma Nyoso anastahili kutupiwa vilago.

      My take:

      Klabu za Simba na Yanga ni chanzo cha kuharibu vipaji kwa wachezaji chipukizi, kumbuka suala la Athuman Idd na sasa Kevin Yondan. Jamani wachezaji muwe makini.

      Naomba tujadili.

      nimefurahi sana kwa uzi wako huu... hata mechi ya shandy nyoso hakuwepo ndio maana simba iko nje, ukweli ndio huo watake wasitake. mimi kama shabiki wa simba huwa nina msimamo wangu na kundi langu... kama nyoso angeachwa ktk usajili tungekaa mechi nne bila kwenda uwanjani kuishangilia simba kama maombolezo ya kuondokewa na Nyoso. habari ndiyo hiyo

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...