Attachment 55731
Mchezaji Kelvin Yondani akisaini mkataba wa usajili mbele ya kiongozi wa Yanga Seif Ahmed usiku huu, katika picha hii Yondani anaonekana akiwa amevaa fulana na timu ya taifa ambazo zimeanza kutumika mwezi mmoja uliopita baada ya stars kuingia mkataba na TBL KUPITIAKilimanjaro.
Taarifa nilizozipata hivi punde Yondani amefuatwa kwenye kambi ya timu ya Taifa iliyopo kwenye Hotel ya Tansoma jijini Dar Es Salaam.
Kauli ya Rage Ismail mbona inapishana na anachofanya Yondani kwenye picha hiyo..
Source: Shafii Blog.

Reply With Quote

Bajeti ya maskini tajiri haiwezi 
Follow Us Here