Mechi hii ya kwanza ya kuwania kufuzu kombe la dunia 2014, itachezwa saa 2:00 usiku (EAT) kwa mujibu ESPN Soccernett katika uwanja wa kumbukumbu ya Felix Boigny mjini Abidijan.
Updates nitaomba ziwekwe hapa pamoja na link za kutazama game. Na kama kuna anayefahamu kituo cha televisheni kitakachoonesha mechi hiyo kwa hapa nyumbani atuambie.

Reply With Quote


Follow Us Here