Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Boban atinga airport na kandambili

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 42
    1. #1
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Boban atinga airport na kandambili

      Boban wa pili kushoto.

      Kiungo mshambuliaji wa timu ya Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ jana alikuwa kivutio kwa mashabiki, wasindikizaji na hata baadhi ya wasafiri waliomuona wakati wakiondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, kuelekea Sudan. Uvaaji wa Boban, ndio uliowavutia watu kumtizama, kutokana na kuvaa kama mtu asiyesafiri.
      Boban alikuwa amevaa fulana, suruali ya kimichezo ‘trakisuti’ na kandambili, hivyo kusababisha watu kuvutika kumuangalia, huku baadhi yao wakibaki kujiuliza kuhusu vituko vya nyota huyo ambaye mashabiki humuita Balotteli wa Bongo.
      mgomba101 likes this.
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    2. Miaka 50

    3. #21
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,968
      Rep Power : 2608
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Kazi kubwa.sijui uchizi.

    4. #22
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Quote By Shakazulu
      Kwani tatizo hapo lipo wapi?
      Huoni? kwani pale ni chooni?

    5. #23
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Simba bwana wanafurahisha sana,
      Hivi punde tu wakichangia mada ya Yanga kubadili jezi walikuwa wanalalamikia waliyoiita logo ya Yanga "kandambili" kuwa haifai ksbb inajulikana ni usafiri wa kuingilia MALIWATO,haya hapa Star wao katinga Airport na usafiri huohuo wa MALIWATO wanauliza tatizo nini...wacha na mimi niulize tatizo la Cartoon ya utani ya Yanga kuwa kandambili liko wapi?

    6. #24
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Quote By Abdulhalim
      Mbona hata mie hupendelea kuvaa sandals zozote zitazokuepo around ili kuepa longolongo za kuvua na kuvaa viatu. Ni mapenzi tu ya mtu.
      BTW, there is only one Boban, Zvonimir Boban, left-footed na kiungo mpishi mahiri kabisa wa zamani wa Dinamo Zagreb, Milan 1899 na timu ya taifa Croatia, hao wengine wa kwenu ni wakuchonga tu si lolote si chochote...they don't worth the comparison.
      wewe utakuwa yanga wewe, hicho ni kizunguzungu cha bao 5 tu, na bado mkiendelea na majungu tukikutana next tm tunawatundika 10 kabisa, subirini muone..

    7. #25
      Ndakilawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Kumasi
      Posts : 470
      Rep Power : 493
      Likes Received
      53
      Likes Given
      63

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      kawapige chenga tu huko

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      yahoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 627
      Rep Power : 394
      Likes Received
      107
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Anselm
      Simba bwana wanafurahisha sana,
      Hivi punde tu wakichangia mada ya Yanga kubadili jezi walikuwa wanalalamikia waliyoiita logo ya Yanga "kandambili" kuwa haifai ksbb inajulikana ni usafiri wa kuingilia MALIWATO,haya hapa Star wao katinga Airport na usafiri huohuo wa MALIWATO wanauliza tatizo nini...wacha na mimi niulize tatizo la Cartoon ya utani ya Yanga kuwa kandambili liko wapi?
      wanaotaka yanga kubadili rangi ya jezi na mwonekano wa logo ni sisi WANAYANGA na sio simba ndugu,tatizo la yanga mnahusudu wazee ndo mana mabadiliko hayaji kwa speedy

    10. #27
      ablood8's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 454
      Likes Received
      12
      Likes Given
      2

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Quote By Mende0
      Boban wa pili kushoto.

      Kiungo mshambuliaji wa timu ya Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ jana alikuwa kivutio kwa mashabiki, wasindikizaji na hata baadhi ya wasafiri waliomuona wakati wakiondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, kuelekea Sudan. Uvaaji wa Boban, ndio uliowavutia watu kumtizama, kutokana na kuvaa kama mtu asiyesafiri.
      Boban alikuwa amevaa fulana, suruali ya kimichezo ‘trakisuti’ na kandambili, hivyo kusababisha watu kuvutika kumuangalia, huku baadhi yao wakibaki kujiuliza kuhusu vituko vya nyota huyo ambaye mashabiki humuita Balotteli wa Bongo.
      Hawa wengine wenye VITAMBI nao ni wana ndinga?

    11. #28
      ablood8's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 454
      Likes Received
      12
      Likes Given
      2

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Mi sioni Ubaya Boban kuvaa kandambili ili mradi ni kiungo mahiri, hata PEKU ningeona sawa tu
      mgomba101 likes this.

    12. #29
      yahoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 627
      Rep Power : 394
      Likes Received
      107
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By ablood8
      Mi sioni Ubaya Boban kuvaa kandambili ili mradi ni kiungo mahiri, hata PEKU ningeona sawa tu
      Ningekuwa kwenye computer ningekupa bonge la LIKE.SIFA za Ukoloni mambo leo ndo kama hizi,hata dada zetu wakijifunga kanga kwenye ndege,ni bonge la story mtaani.

    13. #30
      cy el devon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 359
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      yani ingekua nimm ningeenda na bucta afu chin ningepiga mgogo wa ukwel.
      mgomba101 likes this.

    14. #31
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,195
      Rep Power : 2095
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Bangee
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    15. #32
      Tayseer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 129
      Rep Power : 405
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Nothing wl change haruna moshi ni kiungo bora na hapo alipo anatangazia biashara kandambili alizo vaa so hata mkilalama mwenzenu analipwa

    16. #33
      yahoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 627
      Rep Power : 394
      Likes Received
      107
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Anselm
      Huoni? kwani pale ni chooni?
      wenyewe wazungu waliogundua kandambili tunakutana nao mlimani city wakiwa wamezitinga,hata hivyo mbona wanawake wanakwenda shoping na sehem za kazi wakiwa wamevaa chachandu viunoni wakati wakati zipo kwa ajili ya kunogesha wakati wa tendo la ndoa

    17. #34
      cy el devon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 359
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Arvin sloane
      hiyo mibange mnayovuta ni stimu ya kulanduka kama siyo fani yako kwa kweli utaumbukaaa.
      Kijasho kime mtoka teremka chemka,kama umeona n fani naww uta umbukaaa.

    18. #35
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Quote By ablood8
      Hawa wengine wenye VITAMBI nao ni wana ndinga?
      Ablood,
      Hao wenye vitambi ni baadhi tu ya kundi linalotanua hapa Mjini kwa jasho la kina Okwi,huyo wa kushoto kabisa ndo anaitwa Godfrey Nyange Kaburu...by the way wana Simba embu tujuzane,huyu Jamaa hana shughuli nyingine za kufanya kuendeshea maisha yake? ni Simba tu?,mana'ke ingekuwa team nzima inaingia chooni kama mtu mmoja huyu Jamaa angekuwa anaingia nayo

    19. #36
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Quote By Jidu
      angevaa MZUNGU ingeonekana kawaida ila kwa kuwa ni mweusi ishakuwa nongwa!ishi kwa uwezo wako na nafsi inavyopenda usiangalie wala kuiga yasiyokuwa na manufaa kwa watu wengine
      Hahahaha kwa hiyo mzungu ndo nani bana
      engmtolera likes this.
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    20. #37
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25470
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Quote By jogi
      Tuna mazoea mabaya sana mkuu, usishangae mawaziri wapya nao watakwiba ngawira kwa kuwa waliotangulia walikwiba. Kwani kandambili zinazuia ndege isiruke? au mlitaka atinge buti la kamanda Nkunda.
      Mimi nimeipenda stail ya haruna. Tusiwe watumwa wa akili.
      hahaa nakumbuka Zitto aliwasilisha bajeti ya wizara ya fedha kwa kutumia Ipad utayaona na mawaziri ya magamba yatakavyodesa safari hii
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    21. #38
      Kanigini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2010
      Posts : 812
      Rep Power : 634
      Likes Received
      193
      Likes Given
      126

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Mi mwenyewe namsapoti, eapoti kwenyewe wanawavua watu viatu na kuwatembeza peku. Sasa hapo usafi uko wapi!
      engmtolera likes this.

    22. #39
      Mbwambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2008
      Location : Dar es salaam
      Posts : 487
      Rep Power : 632
      Likes Received
      65
      Likes Given
      87

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Jamani kwa kweli kuvaa kandambili ukiwa nje ya nyumbani kwako si ustaarabu. Bora angevaa sandals za wanaume maana kandambili kwa kawaida ni ya kutumia ukiwa unaenda bafuni kwako
      MImi huo ndio ushauri wangu mdogo tu

    23. #40
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,237
      Rep Power : 5109
      Likes Received
      2789
      Likes Given
      231

      Default Re: Boban atinga airport na kandambili

      Quote By Anselm
      Ablood,
      Hao wenye vitambi ni baadhi tu ya kundi linalotanua hapa Mjini kwa jasho la kina Okwi,huyo wa kushoto kabisa ndo anaitwa Godfrey Nyange Kaburu...by the way wana Simba embu tujuzane,huyu Jamaa hana shughuli nyingine za kufanya kuendeshea maisha yake? ni Simba tu?,mana'ke ingekuwa team nzima inaingia chooni kama mtu mmoja huyu Jamaa angekuwa anaingia nayo

      ndio ndala zinazo zungumziwa nini kwenye huu uzi..
      " kuendelea kwa tanzania ni mara baada ya sisi kuacha ubinafsi!.. ''
      **Maisha kama ndala yatakatika anytime. Mpoki**

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...