Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 864
      Rep Power : 602
      Likes Received
      266
      Likes Given
      120

      Angry JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

      Habari zenu wana jamii forums na wapenzi wa jukwaa hili la Michezo. Kwa wale tunaofuatilia ligi kuu ya uingereza,kumekuwa na matukio mawili yanayohusishwa na ubaguzi wa rangi,yakiwakabili JT(John Terry) na LS(Luis Suarez).Baada ya LS kutuhumiwa kumtolea maneno ya kibaguzi Patrice Evra,alipatikana na hatia na kuadhibiwa kwa kukosa mechi nane.Kinachoshangaza ni kwamba kesi ya JT dhidi ya Antony Ferdinand hata haikusikilizwa,na FA wakatoa tamko kwamba kesi hiyo itasikilizwa baada ya ligi kumalizika mwezi wa 6.Nikajiuliza kwa nini kesi ya LS nayo wasingesema itasikilizwa mwezi wa 6?. Chelsea wakakutana na timu ya QPR kwa mara nyingine katika kombe la FA,wachezaji wa QPR wakapanga kutokumshika JT mkono.FA waliamua kuondoa utaratibu wa kupeana mikono katika mechi ile,kumnusuru JT.Wikiendi hii tutashuhudia mechi ya mzunguko wa pili ya ligi kati ya Chelsea na QPR na FA wameshatangaza tena kwamba hakutakuwa na ule utaratibu wa kushikana mikono kabla ya mechi.Najiuliza mbona Man U na Liverpool walipokutana tena FA hawakuondoa huu utaratibu wa kushikana mikono kabla ya mechi ile?Je hii ni kwa sababu LS si mwingereza? Kwa nini kesi ya John Terry(mwingereza) dhidi ya Anthony Ferdinand(Mwingereza) isikilizwe baada ya ligi kuisha wakati kesi ya Luis Suarez(Uruguay) dhidi ya Patrice Evra(Ufaransa) isikilizwe wakati ule ule?kwa nini huku waruhusu utaratibu wa kushikana mikono huku wazuie tena mara zote mbili? Je hii haidhihirishi kwamba FA wamezichukulia kesi hizi tofauti kwa sababu ya racism?yaani FA pia ni wabaguzi au ndio mcheza kwao hutuzwa? Karibuni tujadili ila tuweke usabiki wa timu pembeni!
      The ballot is stronger than the bullet - Abraham Lincoln

    2. Study Abroad

    3. #2
      Jayonepey's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Posts : 161
      Rep Power : 430
      Likes Received
      38
      Likes Given
      0

      Default Re: JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

      Ushasema Suarez sio mwingereza, kila mtu anajua kesi yake ilipikwa ndio maana mambo yalienda kama yalivyofanyika. JT anabebwa na FA ndio sababu hali inakuwa hivyo
      Kalumbesa likes this.

    4. #3
      mi_mdau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 313
      Rep Power : 496
      Likes Received
      49
      Likes Given
      43

      Default Re: JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

      Waingereza ni wabaguzi sana na hilo linachangia sana soka lao la timu ya taifa kuwa chini. Hawatajifunza kwa wachezaji wa nje kutokana na tabia yao ya kuwabagua.

    5. #4
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 864
      Rep Power : 602
      Likes Received
      266
      Likes Given
      120

      Default Re: JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

      Quote By Jayonepey
      Ushasema Suarez sio mwingereza, kila mtu anajua kesi yake ilipikwa ndio maana mambo yalienda kama yalivyofanyika. JT anabebwa na FA ndio sababu hali inakuwa hivyo
      Jamaa wanafanya vitu vya ajabu na nahisi mwezi wa sita watamsafisha JT
      SG8 likes this.
      The ballot is stronger than the bullet - Abraham Lincoln

    6. #5
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 864
      Rep Power : 602
      Likes Received
      266
      Likes Given
      120

      Default Re: JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

      Quote By mi_mdau
      Waingereza ni wabaguzi sana na hilo linachangia sana soka lao la timu ya taifa kuwa chini. Hawatajifunza kwa wachezaji wa nje kutokana na tabia yao ya kuwabagua.
      Hakika hawa watu ni wabaguzi maana inshu ya Terry ilionekana iko dhahiri
      The ballot is stronger than the bullet - Abraham Lincoln

    7. Miaka 50

    8. #6
      Jayonepey's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Posts : 161
      Rep Power : 430
      Likes Received
      38
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mtanzania Imara
      Jamaa wanafanya vitu vya ajabu na nahisi mwezi wa sita watamsafisha JT
      Amesafishwa tayari

    9. #7
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 864
      Rep Power : 602
      Likes Received
      266
      Likes Given
      120

      Default Re: JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

      Quote By Jayonepey
      Amesafishwa tayari
      Hence proved, FA are racists for acting quickly and punish Suarez because he his not English

    10. SG8
      #8
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,550
      Rep Power : 4176
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

      Quote By Mtanzania Imara
      Hence proved, FA are racists for acting quickly and punish Suarez because he his not English
      Wamenikera sana. Ile move ya Suarez ilituharibia sana na FA kwa chuki zao walifanikiwa. Ndio maana litimu lao la Taifa hakuna kitu
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    11. #9
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 864
      Rep Power : 602
      Likes Received
      266
      Likes Given
      120

      Default Re: JT and LS cases of Racism on English Premier League 2012

      Yani sio siri FA wamechemka maana inshu ya terry ilikuwa dhahiri hata pale pale uwanjani wachezaji wengi walisogea na terry alionekana kabisa kutoa maneno kwa ferdinand.inshu hata kaka mtu rio ferdinand alipopewa mchapo na dogo akafeel na yeye kutendewa,suarez incidence ilikuwa ni wakati wa kona na wachezaji wengi hawakuonekana kujua kinachoendelea kati ya suarez na evra lakini kesi iliamuliwa fasta mechi nane na fine,wizi mtupu!

    12. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...