Re: Website ya Dar Young Africans-Yanga

By
masuke
Mkuu nimeingia kwenye website yenu, rangi inachosha macho, hamna utaratubu kwa kuibadilisha, halafu samahani imekaa kiccm sana.
Mkuu....
Website bado ipo kwenye majaribio na mpaka tunaanza next season itakuwa imeshakuwa bomba.......
Kuhusu rangi na kukaa ki CCM sana ni kwamba rangi rangi rasmi za timu yetu ya Yanga zinashabihiana na rangi za CCM,yaani kijani na njano so hakuna mbadala wa rangi nyingine.......Ni hizo hizo tu.....
"Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.
Follow Us Here