Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Eti taifa stars walishindwa kuifunga zimbabwe kwasababu ya rangi za jezi zao!

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Haika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 1,689
      Rep Power : 914
      Likes Received
      239
      Likes Given
      358

      Default Eti taifa stars walishindwa kuifunga zimbabwe kwasababu ya rangi za jezi zao!

      Eti ni kwamba, wachezaji wengi wa Taifa Stars wanatoka Yanga, jezi za Wazimbabwe ni kama za Yanga...., kwanini wasione ni kama yanga B! Ya kweli haya ndugu wadau? Na kama ni hivyo, huko Ivory cost itakuwaje wakikutana!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default Re: Eti taifa stars walishindwa kuifunga zimbabwe kwasababu ya rangi za jezi zao!

      Mimi nimesikia kuwa ni kwa sababu wachezaji wetu hawakuvuta bangi! Ukweli ni kuwa siku hiyo wachezaji wetu walikuwa na viwango vya chini mno.
      ''UBAYA UTASHAMIRI NA KUPATA NGUVU ZAIDI IWAPO WATU WEMA WAMEAMUA KUKAA KIMYA '', Edmond Burke
      " What we believe, inevitably affects how we live," Howard Marshall

    4. #3
      Haika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 1,689
      Rep Power : 914
      Likes Received
      239
      Likes Given
      358

      Default Re: Eti taifa stars walishindwa kuifunga zimbabwe kwasababu ya rangi za jezi zao!

      Heh! makubwa. Kwani kama walikuwa wamevuta angalau two weeks back isingewasaidia. Maana nasikia huwainakaa mwilini kama wiki mbili vile!

    5. #4
      KiuyaJibu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2007
      Location : DSM
      Posts : 528
      Rep Power : 705
      Likes Received
      20
      Likes Given
      4

      Default Re: Eti taifa stars walishindwa kuifunga zimbabwe kwasababu ya rangi za jezi zao!

      Tangu tumpate kocha wa timu ya taifa(Taifa stars)mbrazil Marcio Maximo;kuna baadhi ya mambo katika utendaji wa timu amejitahidi kurekebisha.Lakini tatizo kubwa na ambalo la mara kwa mara kujitokeza katika timu yetu,ni safu nzima ya ushambuliaji ambayo ndiyo butu sana.Hatuna strikers wa ku-net(kutupia mpira katika nyavu),kwa mfano katika mechi hiyo ya Zimbabwe Vs Tanzania middle fields players ndiyo haohao strikers.Kilichoonekana hakuna strikers,hivyo basi ni suala la kutafuta magoli kwa kubahatisha tu.
      Hiyo ndiyo sababu kubwa iliyowekwa hadharani na wadau wasoka.

    6. #5
      James J's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th January 2009
      Posts : 22
      Rep Power : 532
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Eti taifa stars walishindwa kuifunga zimbabwe kwasababu ya rangi za jezi zao!

      Ni kweli kabisa mkuu Ibrah,sababu ya kucheza chini ya kiwango inasadikika eti ni kuzuiwa kuvuta bangi nadhan itawaaffect sana hata huko Ivory coast maana naambiwa hawawezi kucheza bila kupuliza wakiongozwa na kijana Haruna Moshi Boban.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Belo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2007
      Location : Nakahuga
      Posts : 4,191
      Rep Power : 1510
      Likes Received
      452
      Likes Given
      441

      Default Re: Eti taifa stars walishindwa kuifunga zimbabwe kwasababu ya rangi za jezi zao!

      Nimesikia karibu first eleven yote stars wanavuta bangi
      Kitu ambacho mwanasiasa anasema ukweli ni jina lake tu

    9. #7
      Yo Yo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,786
      Rep Power : 22905
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      2576

      Default Re: Eti taifa stars walishindwa kuifunga zimbabwe kwasababu ya rangi za jezi zao!

      Mimi naona wapewe bangi wavute......watanzania tunataka ushindi no matter what.....ila wasiwape cha arusha watazima uwanjani.....

    Similar Topics

    1. Replies: 9
      Last Post: 18th August 2011, 18:52
    2. Jezi ya timu ya taifa stars!
      By Orkesumet in forum Sports
      Replies: 10
      Last Post: 12th August 2009, 16:14
    3. ukweli kuhusu brand name ya jezi za taifa stars
      By CalvinPower in forum Sports
      Replies: 3
      Last Post: 6th March 2009, 07:39
    4. Jezi za Taifa Stars hazivutii
      By Jafar in forum Sports
      Replies: 5
      Last Post: 12th February 2009, 16:30
    5. Taifa stars vs Zimbabwe vipi?
      By msabato masalia in forum Sports
      Replies: 1
      Last Post: 11th February 2009, 19:05

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...