TiGo Says
    Show/Hide This

    Topic: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 31 to 47 of 47
    1. #1
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,966
      Rep Power : 1721
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      2639

      Default BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Nimesoma habari za michezo mtanadoni naona kuna boing mzimbabwe leo anapambana na Klitschko.

      Since kuondoka kwa Tyson boxing imekuwa haina msisimko mkubwa tena kama ule wa zamani watu hatulali... kushudia masumbwi. Sijui wadau mnasemaje kuhusu hili pambano ... na hwa Klistco brothers......

      Naona jamaa (chisora ) katika picha ya pamoja jana na mshindani wake alimzaba kibao


      Haya wadau mlio karibu wa michezo specificaly boxing tupeane update za huu mchezo. na tukio

      pambano litakuwa mida saa saba usiku kwa saa za afrika mashariki
      Last edited by Mtazamaji; 18th February 2012 at 22:14.
      Saint Ivuga and PingPong like this.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/



    2. #31
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,966
      Rep Power : 1721
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      2639

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      katika round za mwamzo 10 marefa wamempa chiosra ushindi wa round moja kwa point nyingine zote ni Kilisko anaongoza.

      Rouund ya 11 sasa.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    3. #32
      Pipiro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Posts : 145
      Rep Power : 585
      Likes Received
      39
      Likes Given
      22

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Quote By Mtazamaji View Post
      Mhh chisora damu .. thisis where boxing get bad . Round ya tisa sasa . Inaonean the only way ya huyu mzimbabwe wa UK kushindw ani kwa KO. kwa point anaachwa kila round.
      Chisora anasubiri ampige jamaa ngumu moja immalize ila hapati hiyo nafasi ingawa anapambana sana.. Hawa Klitchkos sio masikhara. Jamaa ana miaka 40 lakini bado yupo imara...
      Mtazamaji and Saint Ivuga like this.
      I say what I mean, and I do what I say

    4. #33
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,966
      Rep Power : 1721
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      2639

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Ohh Imebaki round moja Last round. 12
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    5. #34
      dickson longo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Location : DSM
      Posts : 138
      Rep Power : 368
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Halafu mizungu yote inashangilia Vital Vital.Du inaniuma sana.Last round sasa.
      Saint Ivuga likes this.

    6. #35
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,966
      Rep Power : 1721
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      2639

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Quote By Pipiro View Post
      Chisora anasubiri ampige jamaa ngumu moja immalize ila hapati hiyo nafasi ingawa anapambana sana.. Hawa Klitchkos sio masikhara. Jamaa ana miaka 40 lakini bado yupo imara...
      Hiyo height yao inawasaidia sana . Wanakuwa out of reach. wapinzani inabid wafanye kazi kubwa sana na wana risk kujiexpose kuwafikia kwa ngumi iliyoshiba. Kazi hiyo alikuwa anaweza kifaru Tyson.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    7. #36
      Pipiro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Posts : 145
      Rep Power : 585
      Likes Received
      39
      Likes Given
      22

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Chisora anastahili kutandikwa maana hajawa na adabu hata kidogo anamtemea mtu mate, mara anamchapa kibao sasa zamu yake yeye anaadhibiwa ulingoni...
      I say what I mean, and I do what I say

    8. #37
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,966
      Rep Power : 1721
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      2639

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Mpambano umekwisha . Bora jamaa alimzaba kibao kabla ya mbampano Hili pambano linawz lisikumbukwe tena lakini kile kibao dah sitakisahu.... lol

      Kutoka Munich ni wazi klisho kashinda.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    9. #38
      Pipiro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Posts : 145
      Rep Power : 585
      Likes Received
      39
      Likes Given
      22

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Quote By Mtazamaji View Post
      Ohh Imebaki round moja Last round. 12

      Hii game Klitchko ameshinda fair and square.. Jamaa akajipange upya.. Asije akajaribu kuomba game na Vladmir mdogo wake Vitali, atachapwa mno...
      I say what I mean, and I do what I say

    10. #39
      dickson longo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Location : DSM
      Posts : 138
      Rep Power : 368
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Pipiro View Post
      Hii game Klitchko ameshinda fair and square.. Jamaa akajipange upya.. Asije akajaribu kuomba game na Vladmir mdogo wake Vitali, atachapwa mno...
      Naye kaonyesha uhai mkubwa sana

    11. #40
      Matope's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 433
      Rep Power : 546
      Likes Received
      51
      Likes Given
      26

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Harafu Chisora sio mwanabondia ni mtu wa fujo fujo tu wacha apigwe faini nyingine ili atulie vzr!

    12. #41
      PingPong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2008
      Posts : 713
      Rep Power : 621
      Likes Received
      33
      Likes Given
      41

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      huyu chisora hana adabu ila amejitahidi


    13. #42
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 16,975
      Rep Power : 7709
      Likes Received
      4058
      Likes Given
      11108

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      asante chisora kwa kulitemea mimate liguruwe
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    14. #43
      Pipiro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Posts : 145
      Rep Power : 585
      Likes Received
      39
      Likes Given
      22

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Quote By Saint Ivuga View Post
      asante chisora kwa kulitemea mimate liguruwe
      Hivi huyu Chisora ana matatizo gani ? Sasa kaanzisha ugomvi na David Hayes yule mwingereza mwenzake.. Katoka kwenye press conf baada ya kuchapwa kaenda kumvamia Hayes mpaka wameamuliwa... Sasa hivi kashikiliwa na German Police... Huyu akapimwe akili sio mzima..
      I say what I mean, and I do what I say

    15. #44
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,143
      Rep Power : 550
      Likes Received
      336
      Likes Given
      156

      Default

      Quote By Saint Ivuga View Post
      asante chisora kwa kulitemea mimate liguruwe
      Tuwe makini na comment zetu. Siku chache zilizopita tulikuwa pamoja kupinga ubaguzi ambao Luis Suarez aliuonyesha kumuelekea Patrice Evra.Inakuwaje leo tunafurahia hili tukio?? Where is our sportsmanship?? Au kwa sababu ni mtu mweupe kafanyiwa hivyo??
      Mtazamaji likes this.

    16. #45
      Chimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2008
      Posts : 257
      Rep Power : 546
      Likes Received
      8
      Likes Given
      2

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      wewe saint acha huo usuarez wako sisi tukiwaita nguruwe halafu wao watuite masokwe tusilalamike

    17. #46
      Pipiro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Posts : 145
      Rep Power : 585
      Likes Received
      39
      Likes Given
      22

      Default Re: BOXING: Klitschko Vs Derek Chisora.

      Quote By Ambitious View Post
      Tuwe makini na comment zetu. Siku chache zilizopita tulikuwa pamoja kupinga ubaguzi ambao Luis Suarez aliuonyesha kumuelekea Patrice Evra.Inakuwaje leo tunafurahia hili tukio?? Where is our sportsmanship?? Au kwa sababu ni mtu mweupe kafanyiwa hivyo??
      Isitoshe kuhusu Evra yalisemwa tuu maneno kulikuwa hakuna ushahidi yanikifu... Ila kuhusu huyu Dogo kumtemea mate na kumchapa kibao huyu mzungu kitendo kilichoonyeshwa na TV zote then wewe unakuja na comments zako za kibaguzi, kijinga na kitoto... Oooh God,
      I say what I mean, and I do what I say

    18. #47
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,143
      Rep Power : 550
      Likes Received
      336
      Likes Given
      156

      Default

      Quote By Pipiro View Post
      Isitoshe kuhusu Evra yalisemwa tuu maneno kulikuwa hakuna ushahidi yanikifu... Ila kuhusu huyu Dogo kumtemea mate na kumchapa kibao huyu mzungu kitendo kilichoonyeshwa na TV zote then wewe unakuja na comments zako za kibaguzi, kijinga na kitoto... Oooh God,
      Saint Ivuga ni member mzoefu na muelewa hajafikia level ya kuwa na mambo ya kijinga na kitoto atakuwa ameshaona mahali alipoteleza kidogo.
      Mtazamaji likes this.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...