Nimesoma habari za michezo mtanadoni naona kuna boing mzimbabwe leo anapambana na Klitschko.
Since kuondoka kwa Tyson boxing imekuwa haina msisimko mkubwa tena kama ule wa zamani watu hatulali... kushudia masumbwi. Sijui wadau mnasemaje kuhusu hili pambano ... na hwa Klistco brothers......
Naona jamaa (chisora ) katika picha ya pamoja jana na mshindani wake alimzaba kibao
Haya wadau mlio karibu wa michezo specificaly boxing tupeane update za huu mchezo. na tukio
pambano litakuwa mida saa saba usiku kwa saa za afrika mashariki



Reply With Quote
Follow Us Here