nimeona nichukue fursa hii kuuliza huyu mwenzetu yuko wapi? je walifungiwa au vipi? Je kamdhulumu mtu humu? tushamtafuta kila kona haonekani vipi? Manakijiji mara ya mwisho wewe ulikuwa na mvutano naye ,je unaweza kutufahamisha yuko wapi MLALAHOI?
Baada ya kupewa BANN ya wiki mbili na watawala wa JF kisa nilimuita RICHARD CHOTARA wa kijerumani leo nimerudi toka kifungoni na naomba machizi wenzangu wa kule kijiweni kwetu mniwie radhi.
Hii ndiyo price ya ku pay humu JF ambako naweza kusema kuwa POLITICAL CORRECTNESS itatumaliza
Unajua tena sie wengine hatujui tofauti kati ya Half Caste,Chotara, mixed race na rangi rangi hivyo huwa tunawajumuisha wote kwenye hilo Kundi la machotara...ni kiswahilitu tuu hicho
Kama niliwaudhi watawala basi sitowaomba radhi lakini ninawaomba radhi wanachama kwa kuwa na domo kaya.
Mwisho nauliza swali hivi JF ina agreement na FBI kabala ya kuweka mabango ya FBI wakiban watu au ndio utoto tuu kwa huyo mhusika?
sasa naenda kule kwenye forum yetu
take it easy.ipo siku watakuelewa.almuhhimu tu kama ulikuwa juu sheria walipokubann.pia pole na wb.
__________________
PRESIDENT DIDN'T CREATE ME,SO I CAN SURVIVE WITHOUT HIM-------under_age
Mzee Mwanakijiji
anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,452
Thanks: 8,443
Thanked 4,635 Times in 1,298 Posts
Rep Power: 44
Re: Asanteni
huyo wa Holland inabidi tuzungumze ndugu yangu... maana nina dada yangu kule..
__________________ Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Baada ya kupewa BANN ya wiki mbili na watawala wa JF kisa nilimuita RICHARD CHOTARA wa kijerumani leo nimerudi toka kifungoni na naomba machizi wenzangu wa kule kijiweni kwetu mniwie radhi.
Hii ndiyo price ya ku pay humu JF ambako naweza kusema kuwa POLITICAL CORRECTNESS itatumaliza
Unajua tena sie wengine hatujui tofauti kati ya Half Caste,Chotara, mixed race na rangi rangi hivyo huwa tunawajumuisha wote kwenye hilo Kundi la machotara...ni kiswahilitu tuu hicho
Kama niliwaudhi watawala basi sitowaomba radhi lakini ninawaomba radhi wanachama kwa kuwa na domo kaya.
Mwisho nauliza swali hivi JF ina agreement na FBI kabala ya kuweka mabango ya FBI wakiban watu au ndio utoto tuu kwa huyo mhusika?
sasa naenda kule kwenye forum yetu
Brazameni nakusubiri kule kitaani kwetu hapa mkuu hujalipia ada ya mwaka!