Unajua nini Ngabu, pesa iliyopo kwenye black music na entertainment kwa ujumla ingelikuwa kwa wenzetu... na wakawa na matatizo kwenye bara-mama lao kama jinsi siye tulivyo, nadhani ingelitumika ipasavyo kuendeleza bara-mama lao... tatizo, kuanzia wakina Michael J, akina Tyson.. na msululu mrefu unaofata, mambo yao ndiyo kama yale yule mpuuzi mmoja alisema kule kwenye mamabo ya genes!
ni vigumu kukubali ukweli, lakini ukiona vitu kama hivi na facts mbalimbali zinazo surround haya mambo, inabidi tu mtu uamini, kuwa tuko kama tumelaaniwa kama si kulaaniwa!
True dat partner. Tatizo hawataki kuwa-identified na Motherland. Ni kama wanaona aibu vile au sijui ni nini tu. All I can say is brainwashing has really worked. The amount of money I see here in Black Hollywood (ATL) is jaw-dropping and most of it spent on some very worthless causes.
Ebwana nina mpango wa kuja huko sometime around around March or April....I'll holla so we can link up
No prob ma soulja, we'll link up! Word!
SteveD.
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.
Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.
Jamani nawaomba pia muifagile miziki ya nyumbani. Mimi binafsi muziki wa mchinga generation chini ya ali Hachoki uitwao mwaka wa shida umenikaa kichwani.
Hahahah Kisura,
K-CI is a crackhead....mwembamba utadhani ana utapiamlo
ha!ha! Huyu bwana pamoja na crack, Mary J Blige alikuwa haelewi. K-ci alimtosa Mary J, dada allichanganyikiwa vibaya sana. Karibu apoteze music contract yake, maana she wa snot herself. K-ci messed her head really bad!...Acha mchezo bwana!
Lakini, I still love their music, hata walipokuwa Jodeci! Do you remember, "Forever My Lady"?
__________________ A free race cannot be born of slave mothers
Jamani nawaomba pia muifagile miziki ya nyumbani. Mimi binafsi muziki wa mchinga generation chini ya ali Hachoki uitwao mwaka wa shida umenikaa kichwani.
Tunazifagilia sana tu, ila leo tu hazijakaa kichwani....
__________________ A free race cannot be born of slave mothers
ha!ha! Huyu bwana pamoja na crack, Mary J Blige alikuwa haelewi. K-ci alimtosa Mary J, dada allichanganyikiwa vibaya sana. Karibu apoteze music contract yake, maana she wa snot herself. K-ci messed her head really bad!...Acha mchezo bwana!
Lakini, I still love their music, hata walipokuwa Jodeci! Do you remember, "Forever My Lady"?
Oh yeah...naukumbuka sana huo wimbo..(wink)
Sijui huyo bwana alimfanya nini MJB hadi kumchanganya hivyo...
Wimbo ulionikuna ni huu hapa na ni kwasababu nilikuwa hurted just last month ila sasa najisikia better kwa wale waliosoma story yangu ya kuomba ushauri watakumbuka na huu wimbo leo nimeusikia umekuwa kichwani sana. Angalieni Video na Lyrics yake hapa.
I know that it’s over
But I can’t believe we’re through
They said that time’s a healer
And I’m better without you
It’s gonna take time I know
But I’ll get over you
Chorus:
Look at my life
Look at my heart
I have seen them fall apart
Now I’m ready to rise again
Look at my hopes
Look at my dreams
I’m building bridges from these scenes
Now I’m ready to rise again
Caught up in my thinking, yeah
Like a prisoner in my mind
You pose so many questions
But the truth was hard to find
I better think twice I know
That I’ll get over you
(Chorus)
Much time has passed between us
Do you still think of me at all?
My world of broken promises
Now you won’t catch me when I fall
(Chorus)
The hottest songs from Gabrielle
__________________
ONE OF THE STRONGEST WEAPONS IS DIALOGUE
Nyani, wot u up to bro?! captivated in Obamamania saga or..
It's wkend, don't let it get to you too much hommy,
holla..
btw, i guess you seen this one: [media]http://www.youtube.com/watch?v=4rFiaOpIHlk[/media],
these b*****es, keep yappin 'bout being single and pumpin rubbish into young girls heads, but one thing they aint tellin is the fact that soon or later wanageuka kuwa manungayembe na masambizi... and no one is into them any longer... Finally hiyoooo... lol
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.
Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.
"Shemeji usiondoke
sikiliza uwe shahidi
Zubeda hayupo nyumbani
yatapata mwaka wa tatu
sauti inapaa angani bila kujibiwa Oooh
nimekwisha katishwa tamaa na mapenzi yako ooh
mama ooh yeeh!"
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk." Vituko Vya Zenj