Ngabu, ndiyo huo umeamka nao..daah, poa sana mazee... kama hutajali mimi kukuuliza, kuhusu wale wawili ulio gundua wana 'onana' unajisikia vipi ukisikia wimbo kama huo?...
Oh wait a minute...u talkin bout "my girl gotta girlfriend"...ahahahahahaha.....thats whats up
Oh wait a minute...u talkin bout "my girl gotta girlfriend"...ahahahahahaha.....thats whats up
I'll make em do what it do
Damn Riiiight, dat's wot sup dawg!!
bwaaa ha haaaahah!!
SteveD.
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.
Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.
Unajua nini Ngabu, pesa iliyopo kwenye black music na entertainment kwa ujumla ingelikuwa kwa wenzetu... na wakawa na matatizo kwenye bara-mama lao kama jinsi siye tulivyo, nadhani ingelitumika ipasavyo kuendeleza bara-mama lao... tatizo, kuanzia wakina Michael J, akina Tyson.. na msululu mrefu unaofata, mambo yao ndiyo kama yale yule mpuuzi mmoja alisema kule kwenye mamabo ya genes!
ni vigumu kukubali ukweli, lakini ukiona vitu kama hivi na facts mbalimbali zinazo surround haya mambo, inabidi tu mtu uamini, kuwa tuko kama tumelaaniwa kama si kulaaniwa!
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.
Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.