Mbilia Bell kwishine!!! - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Sports & Entertainment Forum


Sports & Entertainment Forum Talk about Music, Sports, TV Shows, Movies, Entertainment & Much More


Reply
 
LinkBack (1) Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 3rd July 2009, 11:51 PM   #1
Mbilia Bell kwishine!!!
Bob K Bob K is offline 3rd July 2009, 11:51 PM

Kwa kweli tuache masihala mbilia beli amekwisha mpaka kuifikia kutumbuiza police mess mara Bukoba mwana mama ambaye alikuwa anatingisha barani afrika nakumbuka alipokuja hapa bongo na mzee Tabu rey sikuwa mdogo sana lakini balaa lake lilikuwa kubwa kama si daimon basi ilikuwa uwanja wa taifa mtu kibao lakini kosa lake ni kumtoroka mzee huyu na kwenda kwa kwenye bendi ya Mtoto wa Omar bongo kule gabon nakumbuka mzee Tabu rey iliripotiwa na vyombo vya habari kuwa alilazwa hospitali kwa mshituko!! kama ni duwa la kuku sasa limempata hebu fikiria toka katika makumbi mbalimbalitena makubwa huko paris france leo bukoba mara police mess bado kidogo tutasikia kimboka nighty pub buguruni jamani mi naomba mshaurini apumzike mziki atafute kazi nyingine iko siku atapelekwa mpanda halafu aachwe kama defao alivyopelekwa Rukwa halafu nauli ya kurudi ikawa shida hebu waige mfano wa wanamuziki wa amerika akichacha anachili home hii mipango ya kutumbuiza toka parisi mpaka Mtwara fedhea harafu kule unafikia Urimbo gest hausi bafu la jumuiya yaaaani jamani huruma akamwombe msamaa mzee Tabu rey wadau mnasemaje katika hili naomba maoni yenu!!

Bob K
Member
Points: 66,788, Level: 100 Points: 66,788, Level: 100 Points: 66,788, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
Join Date: Wed May 2009
Posts: 47
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 1108
Reply With Quote
  #2  
Old 3rd July 2009, 11:57 PM
Babuyao Babuyao is online now
Babuyao has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 83,734, Level: 100 Points: 83,734, Level: 100 Points: 83,734, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Sat Jun 2009
Posts: 506
Thanks: 31
Thanked 43 Times in 28 Posts
Rep Power: 22
Babuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enough
Default Re: mbilia bell kwishine!!!

Mkuu, kwani watu wa Bukoba na Mtwara ndiyo hawahitaji burudani ya watu maarufu kama Mbilia? Cha maana kama wanampa mshiko na anaridhika ndiyo jambo la maana. Jaman hata sisi huku vijijini tunahitaji burudani, eti!
Reply With Quote
  #3  
Old 4th July 2009, 12:25 AM
Kaizer's Avatar
Kaizer Kaizer is offline
Kaizer loving you everyday
JF Premium Member
Points: 266,577, Level: 100 Points: 266,577, Level: 100 Points: 266,577, Level: 100
Activity: 99% Activity: 99% Activity: 99%
 
Join Date: Tue Sep 2008
Posts: 3,287
Thanks: 916
Thanked 997 Times in 620 Posts
Rep Power: 28
Kaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enough
Default Re: mbilia bell kwishine!!!

Quote:
View Post
Mkuu, kwani watu wa Bukoba na Mtwara ndiyo hawahitaji burudani ya watu maarufu kama Mbilia? Cha maana kama wanampa mshiko na anaridhika ndiyo jambo la maana. Jaman hata sisi huku vijijini tunahitaji burudani, eti!
Mkuu, very well said. Kuna watu wanadhani burudani kama hizi ni haki ya kundi fulani la watu tu!

Na kuna ubaya gani akitumbuiza Police Officers mess? si ukumbi tu? unadhani mashabiki wake hawataenda?
__________________
CHANA NYWELE HATA KAMA UNA KIPARA

Kaizer@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #4  
Old 4th July 2009, 02:57 AM
Ndugu's Avatar
Ndugu Ndugu is online now
Ndugu Loves You
JF Senior Expert Member
Points: 288,205, Level: 100 Points: 288,205, Level: 100 Points: 288,205, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Here
Posts: 499
Thanks: 42
Thanked 43 Times in 28 Posts
Rep Power: 22
Ndugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enough
Default Re: mbilia bell kwishine!!!

Quote:
View Post
Mkuu, very well said. Kuna watu wanadhani burudani kama hizi ni haki ya kundi fulani la watu tu!

Na kuna ubaya gani akitumbuiza Police Officers mess? si ukumbi tu? unadhani mashabiki wake hawataenda?
Kwa jinsi nilivyomwelewa mtoa mada ni kuwa huyu mwanadada/mwanamama kwa wakati huo alikuwa na soko kubwa kiasi kwamba kutumbuiza sehemu kama police mess yeyote kwa wakati huo isingetosheleza mahitaji ya wapenzi manake maeneo hayo huwa ni madogo na pia asingeweza kuingiza kipato kikubwa kutokana na idadi ya wahudhuriaji kuwa wachache kutokana na udogo wa kumbi hivyo ikawa inamlazimu kutumbuiza kwenye kumbi kubwa au kwenye viwanja kama ilivyotanabaishwa Uwanja wa Taifa hapo juu...
__________________
Nobody can do everything but everybody can do something.
Reply With Quote
  #5  
Old 4th July 2009, 07:38 AM
Abdulhalim's Avatar
Abdulhalim Abdulhalim is offline
Abdulhalim is on the brink of inventing a Perpertual Machine
JF Senior Expert Member
Points: 356,967, Level: 100 Points: 356,967, Level: 100 Points: 356,967, Level: 100
Activity: 91% Activity: 91% Activity: 91%
 
Join Date: Fri Jul 2007
Posts: 7,145
Thanks: 269
Thanked 792 Times in 522 Posts
Rep Power: 37
Abdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enough
Default Re: mbilia bell kwishine!!!

Quote:
View Post
Kwa kweli tuache masihala mbilia beli amekwisha mpaka kuifikia kutumbuiza police mess mara Bukoba mwana mama ambaye alikuwa anatingisha barani afrika nakumbuka alipokuja hapa bongo na mzee Tabu rey sikuwa mdogo sana lakini balaa lake lilikuwa kubwa kama si daimon basi ilikuwa uwanja wa taifa mtu kibao lakini kosa lake ni kumtoroka mzee huyu na kwenda kwa kwenye bendi ya Mtoto wa Omar bongo kule gabon nakumbuka mzee Tabu rey iliripotiwa na vyombo vya habari kuwa alilazwa hospitali kwa mshituko!! kama ni duwa la kuku sasa limempata hebu fikiria toka katika makumbi mbalimbalitena makubwa huko paris france leo bukoba mara police mess bado kidogo tutasikia kimboka nighty pub buguruni jamani mi naomba mshaurini apumzike mziki atafute kazi nyingine iko siku atapelekwa mpanda halafu aachwe kama defao alivyopelekwa Rukwa halafu nauli ya kurudi ikawa shida hebu waige mfano wa wanamuziki wa amerika akichacha anachili home hii mipango ya kutumbuiza toka parisi mpaka Mtwara fedhea harafu kule unafikia Urimbo gest hausi bafu la jumuiya yaaaani jamani huruma akamwombe msamaa mzee Tabu rey wadau mnasemaje katika hili naomba maoni yenu!!
teh teh te het..Mimi chichemi..
__________________
Nakuona ulivo na wahka na shauku ya kugombana na keyboard, lakini swali ni ..
Je una jipya??
Reply With Quote
  #6  
Old 4th July 2009, 09:24 AM
Kandambilimbili's Avatar
Kandambilimbili Kandambilimbili is offline
Kandambilimbili Unbiased
JF Premium Member
Points: 189,041, Level: 100 Points: 189,041, Level: 100 Points: 189,041, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Nov 2008
Location: MGONGONI KWAKO
Posts: 736
Thanks: 11
Thanked 29 Times in 19 Posts
Rep Power: 23
Kandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enoughKandambilimbili will become famous soon enough
Default Re: mbilia bell kwishine!!!

Quote:
View Post
Kwa jinsi nilivyomwelewa mtoa mada ni kuwa huyu mwanadada/mwanamama kwa wakati huo alikuwa na soko kubwa kiasi kwamba kutumbuiza sehemu kama police mess yeyote kwa wakati huo isingetosheleza mahitaji ya wapenzi manake maeneo hayo huwa ni madogo na pia asingeweza kuingiza kipato kikubwa kutokana na idadi ya wahudhuriaji kuwa wachache kutokana na udogo wa kumbi hivyo ikawa inamlazimu kutumbuiza kwenye kumbi kubwa au kwenye viwanja kama ilivyotanabaishwa Uwanja wa Taifa hapo juu...
KUTOKANA NA ULIVYOMUELEWA na kama kweli alimaanisha HIVYO JE?

Uwanja wa kaitaba - BUKOBA nao ni ukumbi mdogo kushindwa kubeba mashabiki LUKUKI?????

Mtwara pia hakuna washabiki????????

Haya mambo ya kuwa STAR ndivyo yalivyo watu upanda na huwa kuna mwisho wake hata Yvone Chaka Chaka wa zamani sio wa LEO, just learn to live with it.

Besides mwanamziki anayejichanganya hata kwenye ukumbi MDOGO kama huo kuna kitu anafaidi kuliko aliyeFULIA na KUCHILL MAHOME au vipi bwana Mbilia KAnyaga twende na karibu KIMBOKA......
Reply With Quote
  #7  
Old 4th July 2009, 11:12 AM
Kingi's Avatar
Kingi Kingi is online now
Kingi is down to earth
JF Senior Expert Member
Points: 525,179, Level: 100 Points: 525,179, Level: 100 Points: 525,179, Level: 100
Activity: 45% Activity: 45% Activity: 45%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,593
Thanks: 164
Thanked 211 Times in 165 Posts
Rep Power: 25
Kingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enough
Default Re: mbilia bell kwishine!!!

Huyo mtoa mada ndio wale wanaopenda kuabudiwa pindi wakipata nyadhifa. Bora tumekujua. Anayetumbuizwa kempisk na bukoba ni wamoja, kaka
__________________
"The only problem with Africans is implementation and maintenance"- Kingi.
Reply With Quote
  #8  
Old 4th July 2009, 11:22 AM
De Novo's Avatar
De Novo De Novo is offline
De Novo !
JF Premium Member
Points: 266,302, Level: 100 Points: 266,302, Level: 100 Points: 266,302, Level: 100
Activity: 53% Activity: 53% Activity: 53%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Dar - Tz
Posts: 4,096
Thanks: 1,274
Thanked 1,310 Times in 792 Posts
Rep Power: 30
De Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enough
Default Re: mbilia bell kwishine!!!

Quote:
View Post
Mkuu, kwani watu wa Bukoba na Mtwara ndiyo hawahitaji burudani ya watu maarufu kama Mbilia? Cha maana kama wanampa mshiko na anaridhika ndiyo jambo la maana. Jaman hata sisi huku vijijini tunahitaji burudani, eti!

Thanks Babuyao, inaelekea mtoa mada "BOB K" ndio wale wa kufagilia venyu frani za ki "check_BOB". Tukianza hivyo basi wafuatao nao watakuwa wamefulia; Beernie Man, Big Punisher, Shaggy, Eve, 50 Cents, Sean Paul etc ambao wametoka states kwenye majukwaa mabwa kuja kutoa shoo bongo, la hasha... hata huku bash ziko mswano!!!

Tusipoangalia hata JK kuhutubia kule umang'atini tutasema na yeye kweshnehi che!!

Mlioenda shoo ya Jana police mess - mambo yalikuwaje?? maana wengine tulizidisha mvinyo bongo zikalala
__________________
I am on the move...
Reply With Quote
  #9  
Old 6th July 2009, 10:48 PM
Bob K Bob K is offline
Bob K has no status.
Member
Points: 66,788, Level: 100 Points: 66,788, Level: 100 Points: 66,788, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Wed May 2009
Posts: 47
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Bob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enough
Thumbs up Re: mbilia bell kwishine!!!

labda sijaeleweka sina maana kuwa watu wa bukoba,mtwara hawastahili burudani tena kubwa kubwa ila huyu mwana mama mbilia bell namwonea huruma kwani ukweli sasa hivi kafulia!! sasa ningekuwa naye karibu ningemtaadhalisha kuwa kwa kuwa sasa hivi yuko tayari kwenda kupafomu hata bukene au kaliua mpanda cha muhimu pesa yake,akumbuke kuwa hata maprota atakaokutana nao sasa ni wa kiwango cha chini sasa isije kutokea kuwa akaenda sehemu halafu shoo ikabuma akaishia kukosa nauli hata ya kurudi dar kwani wengi hudhani kuwa kwa kuwa alikuwa na jina hata ukimpeleka huko tanganyika atawashitua watu tanzania ya leo sio ya mwaka tisini kwani leo news latest every where juzi watu wameangalia kombe la mabara kikijini ambako hata mimi sikutegemea hivyo watanzania wa leo wanajua kabisa kuwa mbila beli keshafulia long time yatamkuta siku moja namwona anakuwa mwepesi kuru di rudi nani akumbuki defao yaliyomkuta hata pesa ya gesti alivyotoka kule rukwa ilimshinda ni afadhali ukabaki na heshima yako kuliko kutaka kuonekan mbele za watu bado uko juu wakati umeshachoka jifiche watu waulize uko wapi.

mifano si tunayo hapa jijini dar!! chaos mwenye macho na aone na mwenye sikio na asikie kama alishidwa kuwekeza wakati anazo kwa ajili ya baadaye atapiga shoo mapaka na mkongojo!!!
Reply With Quote
  #10  
Old 7th July 2009, 02:46 AM
Ogah Ogah is offline
Ogah is Omnipotent
JF Premium Member
Points: 5,279,762, Level: 100 Points: 5,279,762, Level: 100 Points: 5,279,762, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 3,397
Thanks: 1,335
Thanked 336 Times in 197 Posts
Rep Power: 2031
Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!
Default Re: mbilia bell kwishine!!!

Quote:
View Post
Kwa kweli tuache masihala mbilia beli amekwisha mpaka kuifikia kutumbuiza police mess mara Bukoba mwana mama ambaye alikuwa anatingisha barani afrika nakumbuka alipokuja hapa bongo na mzee Tabu rey sikuwa mdogo sana lakini balaa lake lilikuwa kubwa kama si daimon basi ilikuwa uwanja wa taifa mtu kibao lakini kosa lake ni kumtoroka mzee huyu na kwenda kwa kwenye bendi ya Mtoto wa Omar bongo kule gabon nakumbuka mzee Tabu rey iliripotiwa na vyombo vya habari kuwa alilazwa hospitali kwa mshituko!! kama ni duwa la kuku sasa limempata hebu fikiria toka katika makumbi mbalimbalitena makubwa huko paris france leo bukoba mara police mess bado kidogo tutasikia kimboka nighty pub buguruni jamani mi naomba mshaurini apumzike mziki atafute kazi nyingine iko siku atapelekwa mpanda halafu aachwe kama defao alivyopelekwa Rukwa halafu nauli ya kurudi ikawa shida hebu waige mfano wa wanamuziki wa amerika akichacha anachili home hii mipango ya kutumbuiza toka parisi mpaka Mtwara fedhea harafu kule unafikia Urimbo gest hausi bafu la jumuiya yaaaani jamani huruma akamwombe msamaa mzee Tabu rey wadau mnasemaje katika hili naomba maoni yenu!!
Huu ubrazameni/usista duu mwingine ni uchwara tu.........watu wa kuja utawafahamu tu...........
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
bell, kwishine, mbilia


LinkBacks (?)
LinkBack to this Thread: http://www.jamiiforums.com/sports-and-entertainment-forum/32899-mbilia-bell-kwishine.html
Posted By For Type Date
mbilia bell This thread Refback 23rd February 2010 08:52 PM

Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Does this ring a bell!? Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 0 16th August 2007 04:38 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:50 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com