| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 407
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Kuna tetesi lengo la Simba ni kumkomoa Juma K, habari ambazo zimepatikana zinadai kwamba viongozi wa Simba na washabiki wao kwa ujumla iliwauma sana baada ya Juma K kusaini Yanga msimu ulopita. Mkakati uliopo ni kuhakikisha katika misimu miwili atakayokuwa Msimbazi Juma K atafanyiwa fitina hadi kummaliza kabisa kisoka ikiwa ni pamoja na kukalia benchi kwa sana.... Time will tell!!!
|
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Inaonyesha wewe ndiye ulichukizwa sana kwa Kaseja kwenda Yanga. Soka la sasa ni kazi, mtu anakwenda anapoona kuna maslahi, mambo ya kukaa sehemu hata kama hakuna maslahi yamepitwa na wakati. Wamemsanisha tena kwa sababu Kaseja bado ni Mlinda mlango mzuri na nadhani atawasaidia sana Simba. Kwahiyo hizo habari za kufikirika sidhani kama zina wakati tena. |
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Yanga msimu huu hata kama mtabebwa vipi ni kipigo tu..Phiri ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
__________________
Eagle is not A Chicken!!
|
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Kaseja Karudi tena Simba SC?!..Atulie sasa maana alikuwa(Simba--Yanga--Simba)
Kila la kheri Simba msimu huo ujao!..
__________________
Giving up doesn’t always mean you are weak,sometimes it means that you are strong enough to let go!.... |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Timu imekamilika uwanjani sasa....Viongozi wafanye kazi bega kwa bega sasa...hakuna muda wa malumbano.....kila la kheri wana msimbazi
|
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Simba: Juma Kaseja, Haruna Ramadhani, Juma Jabu, Kelvin Yondani, Joseph Owino/Juma Nyoso, Hillary Echesa, Mussa Hassan 'Mgosi', Amri Kiemba, Ema Okwi, Haruna Moshi 'Boban', Uhuru Selemani/Redondo
|
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
__________________
He who laughs last thinks slowest! |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Na hapo bado Ulimboka, Danny Mrwanda, Obina ehhh...hatari tupu
|
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 06:19 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||