| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 3837
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Chaku si ungeuliza tu Dina yuko wapi mbona hasikiki masuala ya kufukuzwa kazi si kurushana roho tu ndugu yangu?
Subiri watakuja kukujibu wenye ufahamu
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
|
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Sijamsikia siku mbili tatu kwenye leo tena, mwenye taarifa tafadhali atujuze.
__________________
"I have decided to stick with love. Hate is too great a burden to bear." |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Jumatatu ya tarehe 29 june mungu akipenda naweza kuwa hewani katika leotena najua mmenimiss na mnaimiss leo tena kama ninavyowa miss mimi tuombeane heri na uzima
Source: Dina Marios
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
|
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Jamani kachukua likizo fupi si mnajua tena akina mama.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi. Chuda Raha Email: fidel80@jamiiforums.com |
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Unasikillizaga Leo Tena......?
__________________
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu" Kaizer@jamiiforums.com |
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
|
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
hehehehe mkuu si unajua vitengo ukimtrain mtu anajua kama utamzidi makali yeye anakomaa kivyake toka nae alipo chukua mikoba kwa Amina Chifupa anakomaa tu mwenyewe lakini tatizo jingine ni kwenye ajira labda clouds hawana mkwanja wa kuajili mareserve kibao.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi. Chuda Raha Email: fidel80@jamiiforums.com |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
kaizer ndio ndugu yangu nasikiliza ingawa si kila siku kwani kazi zinapobana mh!! Hata headphones hutakumbuka!
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
|
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
kwani ipo online au una karedio kadogo..LOL
__________________
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu" Kaizer@jamiiforums.com
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 07:49 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||