Tupeane michoro basi dadangu kama hizo mission town zinalipa.
Zinalipa vibaya sana!na uchumi mbaya lakini bado nadunda tuu can you imagine that?...hahahahahaha..anyways miye sichezi dili na wabongo ndugu yangu wasije niharibia bure maana ni wana roho za kwanini....wataniliza bure.
__________________ Nothing shall delay my miracles!...
Zinalipa vibaya sana!na uchumi mbaya lakini bado nadunda tuu can you imagine that?...hahahahahaha..anyways miye sichezi dili na wabongo ndugu yangu wasije niharibia bure maana ni wana roho za kwanini....wataniliza bure.
Nipe hint basi lakini asiniambie Primerica or Meleleuca or life insurance tell me something different please.
Nipe hint basi lakini asiniambie Primerica or Meleleuca or life insurance tell me something different please.
hahahaah i did life insurance a while back in 2002......hahaha sasa nikikupa si ndiyo manake nimeshakwambia what it do you know....But not close to Ben madoff....yule ni classic mission town aisee!...But mostly niko based kwenye investment.
__________________ Nothing shall delay my miracles!...
hahahaah i did life insurance a while back in 2002......hahaha sasa nikikupa si ndiyo manake nimeshakwambia what it do you know....But not close to Ben madoff....yule ni classic mission town aisee!...But mostly niko based kwenye investment.
Is it morgage or real Estate or Stocks what is it ?
Sikonge umeijuaje hii site...i had no clue aisee ipo very alright.thank you aisee.Kumbe saa nyingine ina make sense kuuliza eeeh.
Jamaa kapewa ki-web space tu na mahost, lakini naona kakitumia ipasavyo.... I really liked the way how simplified the site is not forgetting the quality and quantity provided. Amejitahidi sana... anahitaji support kwa kweli. Thanks to Sikonge kwa kiunganishi kile na nikushukuru wewe pia kwa kuuliza swali hapo juu.
SteveD.
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.
Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.