| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||
|
||||
|
Views: 579
|
||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Kwani disco lazima iwe mawingu club jamani. Hapakuridhishi timua. Wateja siku zote ndio wanaoentertain huduma mbovu. Hebu watu wasiende disco hapo kama hawatapatengeneza fasta fasta.
__________________
|
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
kweli mwanamke.......
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!! You are talking loud but saying nothing! |
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
btw, je Mawingu unaowataja ndio walewale wa Seventh floor enzi zile, au ni transformation after transformation za management, hivyo waweza kukuta kuwa wala HQ yao hawana na habari na hiyo "godauni" au wamiliki wa disko ulilolitaja... not the foggiest just a view.
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09. Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09. |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
__________________
|
|
#6
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Oh well, I guess bado tunaendeleza ule ule mfumo wa mwaka 47...ili mradi wateja wanakuja basi kwa nini tuiingie gharama za uboreshaji...!!! It's absolutely a shame.
__________________
We miss 100% of the shots we never take |
|||||||||||||||
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Labda ndio kutaka ujiko kwamba wanamiliki ukumbi wa disco? Watafute m-bia hapo. Vinginevyo kuna biashara zaidi ya disco, wanawezaje kusustain kulipa kodi na wafanyakazi ilhali hakuna wateja wa maana?
__________________
|
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Hujanikosea kitu.....wewe nipe tu na kila kitu kitakuwa mswano
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!! You are talking loud but saying nothing! |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mama mpe radhi huyo Nyani aokote makopo na atembee bila nguo!!! I cant imagine Nyani kuwa kwenye utupu wake mitaani....
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous
E-mail: masanilo@jamiiforums.com |
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
You damn right!!!!!!!!!
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 07:45 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||