Rushwa barabarani haitaisha

mompome

Senior Member
Mar 28, 2012
145
39
Ni ukweli kuwa rushwa barabarani haitaisha hadi mfumo wa polisi barabarani ubadilike.

Polisi wanaona kupewa rushwa ni haki yao.Serikali ikitaka rushwa hiyo iishe itafute mfumo bora wa kukagua na kufuatilia mienendo ya magari barabarani.

Nasema hayo maana mimi ni dereva na mambo ninayokutana nayo ni kero tupu hasa mkoa wa Manyara. nikichoka nitasema kila kitu waziwazi hapa Jamii Forums.
 
Mimi naona wapo kukusanya fedha zao wala hawana habari na usalama barabarani.
 
Ni ukweli kuwa rushwa barabarani haitaisha hadi mfumo wa polisi barabarani ubadilike.

Polisi wanaona kupewa rushwa ni haki yao.Serikali ikitaka rushwa hiyo iishe itafute mfumo bora wa kukagua na kufuatilia mienendo ya magari barabarani.

Nasema hayo maana mimi ni dereva na mambo ninayokutana nayo ni kero tupu hasa mkoa wa Manyara. nikichoka nitasema kila kitu waziwazi hapa Jamii Forums.
Usiposema sasa unaendelea kufuga ugonjwa mbaya sasa, kama unakereka hasa na huna maslahi kwenye hili SEMA SASA
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom