kabingo
Senior Member
- Oct 16, 2015
- 115
- 118
Huyu jamaa kweli ni mwendeshaji mzuri wa kipindi cha Morning Magic akiwa na wenzake akina Kibwana Dachi Mkambala, na Mary Edward.
Tatizo lake ni kuongea maneno ya Kingereza kila baada ya sentensi mbili za Kiswahili. Hivi mbona wenzetu Wazungu wakiwa kwenye vipindi huwa hatusikii sentensi za lugha nyingine?
Sio kwamba hawajui lugha nyingine. Ila hawa watangazaji wa Kitanzania hadi kero. Mpe kipindi cha Kingereza uone wanavyochapia.
Tatizo lake ni kuongea maneno ya Kingereza kila baada ya sentensi mbili za Kiswahili. Hivi mbona wenzetu Wazungu wakiwa kwenye vipindi huwa hatusikii sentensi za lugha nyingine?
Sio kwamba hawajui lugha nyingine. Ila hawa watangazaji wa Kitanzania hadi kero. Mpe kipindi cha Kingereza uone wanavyochapia.