Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Rais wetu Dk. Magufuli amekuja na kazi mpya ya kutumbua "majipu". Tumeshuhudia baadhi ya watendaji wenye majipu wameanza kutumbuliwa na Dk. Magufuli. Hapa nina swali la kizushi tu, hivi utajisikiaje kama mmoja wa wanaotumbuliwa majipu ni baba yako? Au ndugu yako, mume wako, mjomba, au hata rafiki yako?
Ki ukweli kama ni majipu basi watendaji wengi sana wanayo na wengi sana watatumbuliwa. Tuache utani, kutumbuliwa jipu sio mchezo, jamani.
Ki ukweli kama ni majipu basi watendaji wengi sana wanayo na wengi sana watatumbuliwa. Tuache utani, kutumbuliwa jipu sio mchezo, jamani.