Wapinzani huu muda ni wakafanya vikao vya kuhakikisha tuna meya miji ambayo tuna madiwani wengi na kufanya kazi. Kuna barabara za ndani ndani hazipitiki kabisa hapa DSM sasa fanyeni kazi na wananchi.
Mnyika piga kazi ingawa unamasikito ya kuondoka Mzee Dr slaa, kubenea piga kazi achanana na kupoteza muda na spika wa bunge, matiko piga kazi, heche piga kazi, shilinde piga kazi, msigwa pigine kazi...matatizo mengine ni ushirikiano na wananchi tu.
Wabunge ambao hawatafanya kazi. Hamna msamaha 2020. Diwani plus mbunge wakishirikiana wanaweza kufanya kitu fulani kwenye jimbo husika. Mfano mashimo makubwa barabarani....kuboresha huduma za kijamii kama vituo vya afya na mashule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.