Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,298
- 33,083
Uchunguzi wa Mwananchi umebaini kwamba katika muda wa siku 20, tangu alipoapishwa Novemba 5, Rais Magufuli
amekonga nyoyo za Watanzania baada ya kufanya ziara za kushtukiza Wizara ya Fedha na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,
akavunja Bodi ya Wakurugenzi ya Muhimbili na kuzuia fedha kutumika kwa ajili ya sherehe badala yake akaagiza zifanye
shughuli za jamii http://www.mwananchi.co.tz/?/?/2970818/-/nsuiq0/-/index.html