ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 442
:thumbup: Jambo moja tuu tunakubaliana WaTanzania wengi kama sio wote ni kwamba tunataka mabadiliko, katika nyanja zote za maisha
kisiasa, kilimo , uchumi , biashara na haki za raia kwa ujumla
Ila labda hatujui au 'wapumbavu' kama alivyosema mkapa katika uzinduzi wa kampeni za CCM Jangwani .
Hili hasa linahusu wanachama wa ccm wanasema wanataka mabadiliko ,mabadiliko hayatokei ukiwa umekaa au umesimama mahali pamoja kama jiwe, ili upate mabadiliko lazima uanze wewe kubadilika huwezi kuwa mtu yule yule unafanya yale yale huku ukisema unataka mabadiliko, hutaona mabadiliko kamwe maishani mwako.
Kisiasa mwaka 2010 ulipogia kura ccm kwa ahadi zao kama walivyoahidi hata sasa lakini hakuna mabadiliko wala ahueni Iliyopatikana, umekuwa ukilalamika elimu duni ,kupanda kwa maisha, huduma za afya duni mpaka leo hospital hazina dawa, huku nje ya hospital za serikali kuna duka linakuuzia dawa ulizopaswa kupewa bure au gharama nafuu zaidi ndani ya hospital ya serikali,lakini hazitolewi ipasavyo. Kilimo cha mkono mpaka sasa.
Halafu unakuja uchaguzi kuchagua viongozi wa kukusaidia kutatua malalamiko yako bado unabaki pale pale kuchagua viongozi wa chama kile kile, na ahadi zile zile, eneo lile lile mtindo ule ule, ukinambia unataka mabadiliko namna wewe no mpumbavu kabsaa !! Na hujui unataka kubadilika wapi kisingi unatakiwa uishi hivyo hivyo na matatizo yako milele maana hujui jinsi ya kubadilika.
Pili wanaCCM wengi ni waoga hili liko wazi wanajadili mabadiliko utawasikia hao wapinzani hawana uzoefu wa kuongoza nchi hivi ni nani alieanza kuongoza nchi kwa uzoefu hapa uzoefu maana yake ulishafanya kazi hiyo kabla,
Kuanzia Mwl jk Nyerere, All H mwinyi, BWM mpaka Kikwete nani alikuwa na uzoefu kabla,?
Huo ni uoga bahati mbaya hata viongozi wote wa CCM wanajua uoga huo wa wanachama wao hutumia sana kuwatisha wasifanye mabadiliko wayatakayo,
huonyesha mifano ya vita kuwatisha, na huu umekuwa ugonjwa mkubwa wameambukiza mpaka watoto na wajukuu wao kibaya zaidi wameuhamishia uoga mpaka bungeni wanawatisha hata wawakilishi wa wananchi ati wasithubutu kuchukua hatua zozote kwa viongozi wa kitaifa kwa makosa yao eti nchi itayumba huu ni uoga na udhaifu tuu.
kisiasa, kilimo , uchumi , biashara na haki za raia kwa ujumla
Ila labda hatujui au 'wapumbavu' kama alivyosema mkapa katika uzinduzi wa kampeni za CCM Jangwani .
Hili hasa linahusu wanachama wa ccm wanasema wanataka mabadiliko ,mabadiliko hayatokei ukiwa umekaa au umesimama mahali pamoja kama jiwe, ili upate mabadiliko lazima uanze wewe kubadilika huwezi kuwa mtu yule yule unafanya yale yale huku ukisema unataka mabadiliko, hutaona mabadiliko kamwe maishani mwako.
Kisiasa mwaka 2010 ulipogia kura ccm kwa ahadi zao kama walivyoahidi hata sasa lakini hakuna mabadiliko wala ahueni Iliyopatikana, umekuwa ukilalamika elimu duni ,kupanda kwa maisha, huduma za afya duni mpaka leo hospital hazina dawa, huku nje ya hospital za serikali kuna duka linakuuzia dawa ulizopaswa kupewa bure au gharama nafuu zaidi ndani ya hospital ya serikali,lakini hazitolewi ipasavyo. Kilimo cha mkono mpaka sasa.
Halafu unakuja uchaguzi kuchagua viongozi wa kukusaidia kutatua malalamiko yako bado unabaki pale pale kuchagua viongozi wa chama kile kile, na ahadi zile zile, eneo lile lile mtindo ule ule, ukinambia unataka mabadiliko namna wewe no mpumbavu kabsaa !! Na hujui unataka kubadilika wapi kisingi unatakiwa uishi hivyo hivyo na matatizo yako milele maana hujui jinsi ya kubadilika.
Pili wanaCCM wengi ni waoga hili liko wazi wanajadili mabadiliko utawasikia hao wapinzani hawana uzoefu wa kuongoza nchi hivi ni nani alieanza kuongoza nchi kwa uzoefu hapa uzoefu maana yake ulishafanya kazi hiyo kabla,
Kuanzia Mwl jk Nyerere, All H mwinyi, BWM mpaka Kikwete nani alikuwa na uzoefu kabla,?
Huo ni uoga bahati mbaya hata viongozi wote wa CCM wanajua uoga huo wa wanachama wao hutumia sana kuwatisha wasifanye mabadiliko wayatakayo,
huonyesha mifano ya vita kuwatisha, na huu umekuwa ugonjwa mkubwa wameambukiza mpaka watoto na wajukuu wao kibaya zaidi wameuhamishia uoga mpaka bungeni wanawatisha hata wawakilishi wa wananchi ati wasithubutu kuchukua hatua zozote kwa viongozi wa kitaifa kwa makosa yao eti nchi itayumba huu ni uoga na udhaifu tuu.