Mtoa mada unaonekana una msongo wa mawazo Hadi kushindwa kutoka nyumbani, punguza mawazo hizo Ni changamoto tu na mapito...
Member wengi watakupa mawazo mazuri Nini Cha kufanya.
Utaratibu Ni kwamba hata mtu akisimamishwa kazi inapaswa mshahara wake wote apate na sio nusu mshahara Kama zamani....
HR atakuwa na walakini, maana haiwezekani mtu asimamishiwe mshahara na aendelee kwenda kazini...
Mshahara unasimamishwa kwa mfanyakazi ambae Ni mtoro sugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.