SOMA RAI !
03.04.2008
Sasa Wizara ya Afya yatetea takataka zake
na mwandishi wetu
KATIKA kipindi kisichozidi wiki tatu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imetoa taarifa mbili, zenye maelezo yanayojipinga yenyewe kwa yenyewe kuhusu ununuzi wa vitendanishi aina ya Capillus na kutuhumiwa...
SEE ATTCHEMENTS
PCCB, DCI should comb Ministry of Health and flush out criminal elements
FINNIGAN WA SIMBEYE
DAR ES SALAAM
ONCE again in a space of less than six months, the corruption jinx at the Ministry of Health and Social Welfare has raised its ugly head again. This time around the...
KWA mara nyingine tena, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Profesa David Mwakyusa amewashangaza wanasayansi duniani kwa kukubali kunaswa na mtego wa mafisadi na kutangaza ripoti ya uongo kuhusu kipimo cha Capillus na mashine ya kupima chembechembe za damu (CD 4) inayojulikana kama Cyflow.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.