Dova kamanda kaza buti nimesoma nawe advnc school ninajua uwezo wako uhodari wako kisiasa hakika kamanda utakuwa raisi wa taasisi hyo muhimu sna katika historia yako ya kisiasa,mimi bado napambana na magamba huku iringa kama iliryo kawaida yangu
nitaungana pamoja nanyi wana wa dar kwa harakati hizi za ukombozi mimi niko chuo iringa nitachangia pesa kiasi cha elfu ishirini na nitashiriki matembezi hayo kama yatafanyika mwez huo wa tatu kwani tutakuwa likizo.wazo zuri sana na hii ni dalili ya kwenda ikulu
kazi ya mbuge wa chama gani coz wabumge wa upinzani wanakazi ya kutetea maslahi ya wananchi hasa kuishauri,kuikosoa na kutunga sheria za nchi kwa maslahi ya wananchi lakini wabunge wa CCM kazi yao niku isaidia serikali kujibu hoja za wabunge wa upande wa pili,kwa hiyo nchini kwetu kazi ya mbunge...
Je magamba ndio kimbilio la wasomi? nakama magamba na chama chao wameenda shule wanawezaje kuliingiza taifa katika mikataba kandamizi,au huo usomi wao wamesomea kuwanyonya watanzania maskini?kumbuka kuwa ukombozi wa taifa unahitaji dhamira safi,moyo safi,ujasiri na wala siyo kuwa na phd wala...
nani kakuambia Hai kunashida ya kila namna,nenda kaangalie jimbo la huyo mwigulu nchemba ndo kuna neema?mwache kamanda apige kazi ya ukombozi wana Hai tunatambua mchango wake awepo Hai au atakapo kuwa nje ya Hai.Mbowe komboa taifa kata anga kupigania ukombozi,mwenyekiti shupavu asiye yumbishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.