Pole mkuu, Mimi nilipatwa na dalili kama hizo. Doc akaniambia ni dalili za covid. Dawa alizonipatia na zilinisaidia tuliambiwa tupate dozi 2 na mke wangu ni: 1. Hidrokloroquin,2. aspirin, 3. athromizing, 4. flagil,5. vitamic c, na 6. dexamethason.
Namba 1 & 2 ndio mhimiri mkuu. Kama hutojali...
Wanafunzi wenye sifa tajwa au Div. IV ya 34 na kuendelea:
1. Wahitimu sifa tajwa wanaalikwa na Kituo cha Elimu cha Utawala-Hombolo kujiunga na masomo ya mwaka 1.
2. Wakimaliza masomo watapata sifa za kujiunga na elimu ya astashahada katika vyuo vya NACTE.
3. Hii itasaidia wadogo zetu kutobaki...
Akasome Governance education center hombolo Dodoma. Anasoma kwa mwaka 1 kisha anapata sifa kujiunga na elimu ya certificate nta level 4. Usikate tamaa na huyu asirisiti mtihani bila tija.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.