Ckia,hapo hakuna bikra kaka,mimi nishapgwa kabobo kama hzo nyingi sana afu baadae unamkamata.hyo bnti wako ni mzoefu wa hayo mambo na alipogundua kuwa ww ni mgeni ndo amecheza trick hyo,mnaweza kuingia chumbani akawa analia knoma kumbe kaweka ndimu ambayo hwa inakausha maji yaliyoko ukeni hvyo...
Kwa wale ambao hawaoni majina yao,hawawezi kudownload form ya usajili,na majina hayo yatawekwa mtandaoni katikati ya wiki ijayo hvyo inabd muwe wavumilivu 2.ukitaka kuona tangazo nenda ALIS utakuta
mimi cjachguliwa hpo bt nilikwenda kumchukulia jamaa yangu,ukitaka kuipata mpaka uende palepale.kama haupo dar inabdi ufanye harakati kwan upo off time
Katika taarifa ya habari wameonesha jamaa ambaye anatuhumiwa kumuua mtangazaji wa chanel ten DAVID MWANGOSI, amefikishwa mahakamani.
Kwa watu ambao wamechunguza kwa makini wakati jamaa akipelekwa kusomewa mashtaka alikuwa amezungukwa na maaskari wengi huku akiwa amezibwa sura asifahamike wala...
Itabidi uende makao makuu,coz pale kwenye instruction za loan application walisema inabidi kopi ya bandle nzima ya makaratasi ya application pamoja na risiti ya EMS kudhbitsha kuwa ulituma,mbali na hvyo mjomba itakuwa "BAD WORK WITH VERY SORY"
Kitu cha muhimu ambacho ujfunze kijana ni kwamba,uckariri sana maswala ya darasani kwani kwani unaweza ukawa umesomea udsm na pia ukabaki unaangaika mtaani,KITU CHA MSINGI KWANZA SOMA MAISHA NA IFUATIE ELIMU kwani unaweza ukafaulu darasani ukaja ukafeli maisha.ukae ukijua kwamba ufaulu wa...
hivi wanajamii wanposema mkopo umepewa asilimia mia,inamaanisha kuwa maswala yote,acomodation na kila kitu utalipiwa na serikali.JE KUNA HELA NYINGINE AMBAYO UTAPEWA MBALI HIYO YA CHUO?NAOMBA MSAADA NIPATE UELEWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.