Sasa sijui anayema kweli hapa ni nani. Huku M/Mwenyekiti Taifa anasema "Chini ya CCM, hakuna mwenye haki ya kukatisha uhai wa mtu mwingine".....huku Mwenyekiti UVCCM Mkoa wa Kagera pia anakuja na yake ya kupoteza watu wengine. Hizi kauli zinatoka ndani ya taasisi moja, sasa nani mkweli??
Kauli...
I don't believe if that simu ni original. Kuna vitu vichache can be observed kwenye hilo box utagundua has couple of differences compared to the original one. Muweni makini pale mnapo-claim kuwa ni original. Na consumers muweni makini mnapoletewa items believed to be original. Fanyeni utafiti...
Mimi binafsi ninaamini Amos Makalla kaondolewa u-RC ili arudi kwenye uenezi. Anaweza kufanya kazi kwa ukaribu na Dr. Nchimbi bila shida. They know each other very closely.
Mmea wa mzugwa una flush kila kitu out. Baada ya hilo tendo, tumia mzungwa majani yake andaa kama juisi, kunywa glasi 1 kwa siku 3. Lugha ya kisayansi unaitwa Plectranthus barbatus
Kuna sehemu nilisoma kuwa;
1. Unasaga majani makavu ya mkomamanga (pomegranate) ili kupata unga. Unakuwa unatumia vijiko 2 kwenye glasi 1 ya maji, kutwa mara 2 kwa muda wa mwezi mmoja bila kukosa au kuruka muda.
2. Saga majani ya tangawizi, changanya na udongo mwekundu (Red clay) kwa uwiano wa...
Tumia mziwaziwa (Asthma plant) kwa kuchemsha majani yake. Tumia kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni for 3 consecutive days....kisha leta mrejesho hapa.
Kama una tatizo la Asthma, dawa mujarabu ya tatizo hilo ni mmea huitwao mziwaziwa. Uki-Google (Asthma plant) utaona picha yake. Chemsha majani yale na kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni kwa siku 3-5 hilo tatizo litakuwa limeisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.