Dar es Salaam. Uongozi wa SportPesa mapema leo Februari Mosi, 2023, umetoa taarifa ya kusikitishwa na uongozi wa Yanga kukiuka makubaliano ya kimkataba na kuzindua jezi mpya zenye nembo ya mdhamini mwingine.
Mwananchi Digital imefanya jitihada ya kuutafuta uongozi wa Yanga kutolea ufafanuzi...
islam is a complete way of life,who cares about names fika hapo misri uone majina unayoona ww kuwa ni ya kiislam lakini wakritu,tabia ya mtu ni yake wala haiwezi kusabihisha na dini yake,washenzi wapo kibao kila mmoja na dini yake.kama ingekuwakagusa kwenya nguzo zetu za kiimani za kiislam...
punguza jazba ndugu,kinu cha kuzalisha umeme kikifungwa mtwara na umeme kuingizwa kwenye grid ya taifa wewe wa dar utakosaje umeme?usirukie hoja,mapato ni ya serikali na wala watu wa mtwara hawana haja na mapato ya serikali,kuna mnajeria ALIKO DANGOTE anajenga kiwanda cha cement mtwara baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.