Search results

  1. BARTAZARY BAMECE

    Apo tu ndo naposhindwa kuwaelewaga wadada zetu jamani

    Mwanamke ndio unampenda tena sna tu then inatokea cku mmegombana tena kitu kdogo then anakwambia muachane alafu baada ya mda anakwambia naomba unisamehe turudiane bt nina mpenzi wangu mwingine pia nampenda bt co kama wewe navokupenda sasa nashindwaga kuelewa apa jamani,ni pepo au nn
Back
Top Bottom