Kwa vigezo vipi?, Maana kuna viongozi wao, na pia kuna tool maalum za kufuatilia ,kama wanazembea alafu hawaonekani basi kuna maali wenyewe wamelegalega.
Ilo atakuwa ameongea tu mdomoni kwa maana limemtoka tu, sasa wanakuona wewe mwenyewe chawa ,alafu unawakataza wao wasiwe chawa ,wataishia kukushangaa tu
Ata kama kama kanuni za bunge haziruhusu ,lakini ni ukweli usiopingika kuwa hilo kabila ndio linaongoza kwa wizi hapa nchini, kila mahali ambapo mchaga yupo usitegemee ufanisi zaidi ya kujinufaisha yeye. Mchaga ni mzuri mno kwenye management ya mali zake kuliko mali za umma, yaani lazima aibe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.