Kazi nzuri mkuu. Nimeipenda.
Mimi kama developer na UI designer kuna vitu ambavyo ningependa uvifanyie kazi:
1. UI ipo kama ya web kitu ambacho kinapunguza user experience. Endapo utahitaji, naweza kukusaidia kutengeneza UI ambayo inafuata design patterns za Android bure (hii ni kukupatia...
Kwema wakuu?
Naomba kujuzwa wapi napoweza kupata stylus ya galaxy note 3 kwa hapa Dar. Huwa naagiza aliexpress, ila kwa sasa inahitajika kwa haraka kidogo.
Tafuta program ya kudownload files kishauwe unaweka zile links unazopata katika program hiyo. Me natumia ADM (Android).
Kupata links unaweza kutumia maelekezo yafuatayo (kama yaliyowekwa hayapo clear):
1. Nenda hapa: https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/
2. Tafuta Neno "uploads"
3. Copy...
Well said mkuu. Wengine wanaweza wasikuelewe. Kampuni ya Microsoft ilitangaza dau la $16,000 kwa atakaepata bugs katika OS yao kama njia ya kuhimiza watu kuwasaidia kutafuta bugs.
Habari zenu wakuu.
Napenda kutambulisha kwenu uwepo wa app inayoitwa "Appetite" (inapatikana playstore).
App hii inakuwezesha kuandika recipe zako pamoja na kushare hizo recipe. Kwa sasa app ina msaada zaidi kwa wanaopenda kupika au kushare mapishi yao lakini kuna features nyingi zinakuja...
Heshima kwenu brothers and sisters
Napenda kutambulisha kwenu app inayoitwa "Appetite" ambayo inakupa uwezo wa kuandika recipe zako (maelekezo ya mapishi) na kushare na watumiaji wengine wa app hii.
Kuna features nyingi ambazo tunaendelea kuongeza zitakazofanya app iwe na matumizi mengi zaidi...
Si sahihi kuweka simu za tecno na huawei kundi moja. Huawei ni brand kubwa ambayo ina ushindani mkubwa kwenye baadhi ya masoko kwa makampuni kama apple na Samsung. Mwaka huu huawei wameongoza kwa mauzo china… pia kampuni kama Meizu, Xiomi etc. zinaweka ushindani sokoni lakini sio tecno.
Ingia www.gsmarena.com, pale utapata maelezo ya kina zaidi kuanzia General performance, battery, display quality na type, gaming info. Mambo chungu nzima. Naitumia sana napotaka maelezo ya kutosha kuhusu simu husika
Kitu kama hicho kimeshawahi kutokea kwenye Tv yetu na chanzo chake kilikuwa ni speaker zilizokuwa karibu na tv.
Hivyo kama walivyoshauri wadau wengine, tafuta fundi ambaye sio mzushi akurekebishie kisha ondoa spika karibu na tv yako.
Kuna developers wanaofanya kazi nzuri pia. Tatizo ni kwamba watanzania wengi katika nyanja mbalimbali wanafanya kazi bila ushirikiano. Mtu anafikiri anaweza kufanya kila kitu peke yake... Which is wrong.
Software za kuzuia kucopy CD/DVD za movie zipo(Mimi ninayo moja) japokuwa hazizuii kwa 100% mtu kucopy esp. kama ni advanced users. Ila kwa watumiaji wa kawaida, hiyo inaweka ugumu kidogo hivyo kuwafanya wapotezee plan yao ya kucopy.
So, bora kutumia software ya kuzuia CD/DVD copying ili...
Kwani hela aliyonayo ni nyingi kiasi cha kumshauri akatoe misaada? Ushauri kama huu wapatie wenye mabilioni ambao wanazitumia hata pale ambapo hakuna ulazima......
Nenda kwenye hii link: https://shared.com/89b62npqjl?s=l kisha download hilo file.
Ukimaliza kudownload, extract "linkfix_vista.reg" kisha install.
Baada ya kuinstall, restart pc yako.....
Kama hakutakuwa na mabadiliko, leta feedback....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.