Habari zenu humu mimi beginner kwenye field hii ya software engineering ninaomba msaada kwa wale senior/experienced software developers..
Ninapata taabu sana kwenye swala zima la ku-initiate project lets say nina idea ya kitu flani nashindwa kujua niazie wapi (assuming ninajua language X)...
hebu nifanulie kidogo hapo @njunwa wamavoko yaani umefungulia paypal kwa ip ya tanzania na na una login kwa ip ya nje na umeweza fanya transaction maana paypal kuna system huwa zina monitor location kwa ajili ya maswala ya theft na umeveryfy kwa bank ya tz
Mimi nachotaka kufanya ni na2mia proxy mfn za usa au uk then natafta vcc online then naithibitisaha paypal yangu hapo nitakuwa nina uwezo wa kusend au kurecieve money as long natumia proxy yangu na kucleare cache zangu kila wakati ili wasinilimit
Habari wakuu samahani kwa usubufu nilikiwa naomba litolewe darasa kidogo juu ya huu mchezo wa Kubet
Nimekuwa nipo intrested na online betting naomba tungepata mwongozo kidogo kala hatujaanza kuliwa/kulaa pesa za watuje
Je nini maaana ya ODDs
nimesikia watu wanasema wanabet mara live ndo nini...
Mimi huwa napendelea mda wote kutumia TOR network ingawa nayo siyo 100% safe huwaga sipendelei ip adress yangu iwe public ktt masite tatizo linakuja nikitaka kulogin katika social networks account nimefungulia ip ya bongo then na login kwa ip ya nje hapo account yangu huwa wana issaspend.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.