mkuu Tantawi usijaribu kabisa kile unachokusudia kwani kijamii na kisheria ni kosa kubwa sna.kuhusu Kapuya tunaomba vyomba vya Dolla vifanye uchunguzi wa kina na ikidhibitika bila ya shaka yeyote kuwa alifanya hivyo basi sheria ichukue mkondo wake.
naunga mkono hoja yako pia kituo cha mbasi yaendayo mikoa ya kati na nyanda za juu kusini kijengwe kiluvya kuna eneo
kubwa sna lipo wazi halijajengwa na lipo karibu tu na barabara kuu.
Ikidhihirika bila shaka kwamba viongozi wa chadema/ccm walipanga na kulipua bomu kisha kuua watu wasikuwa na hatia ilimradi wao wapate umaarufu wa kisiasa wanatakiwa wahukumiwe kunyongwa mpaka wafe.
Mkuu hesabu hii ndo inatumika siku hizi na wafanyakazi wengi wa serikalini kwa mwezi mshahara 200,000. ila matumizi yake kwa mwezi 1,000,000. na hana mradi wowote wa kuingiza kipato cha ziada sasa hapo ni hesabu ipi inayofaa kufundishwa?
Futeni kesi mahakamani halafu nendeni mkae na uongozi wa chuo hasa VC wa chuo naamini anauwezo wa kuwashawishi seneti ya chuo iwarudishe ili mmalizie masomo yenu poleni sana nami yaliwahi kunikuta nikafanya kama nilivyowashauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.