Habari,
Naomba kujua ni gear box oil gani ni kwa ajili ya pajero mini snoopy edition. Nataka nibadili ila deep stick haijaandikwa chochote. Msaada kwa ushauri au source ambayo naweza pata uhakika.
Ahsante
SAMSUNG GALAXY S8 FOR SALE
MODEL: SAMSUNG GALAXY S8
ROM: 64GB
RAM: 4GB
STATUS: USED IN A VERY GOOD CONDITION
ACCESSORIES: CHARGER
PRICE: 470,000/=
CONTACTS: 0768366676
LOCATION: DSM
Autocom wako vizuri mkuu. Nshaagiza gari mara mbili kutoka kwao. Gari zao zipo kwenye hali nzuri na bei zao ni nafuu kulinganisha na makampuni kadhaa maarufu ya Japan. Kwa urahisi wacheck ofisi zao mtaa wa Samora pale.
Flexcodes Web Services
Tunatengeneza:
Web applications za aina zote (Personal & corporate websites, e-commerce sites, systems etc..)
Web hosting
Domain name registration
SEO (Search Engine Optimization)
Android applications
Graphics design
Email:
flexcodestz@gmail.com
Wasiliana nasi:
+255...
FLEXCODES is a full service digital agency dealing with
• Web development (websites, Shopping carts, school, hospital, inventory management systems and all kind of systems according to user specifications)
• Mobile Applications
• SEO (search engine optimization)
• Online advertisements
•...
Ndiyo lengo hasa la forums hizi, kuwezesha watu kushare skills katika taaluma zao kwa kutumia formal na informal knowlege walizopata mashuleni, vyuoni na katika maeneo ya kazi.
Mkuu niwie radhi kama hayo maneno yamekukwaza. Lakini kwenye maelezo hapo juu kuna sehemu nimeandika "TaalumaForums inalenga wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu, wakufunzi (teachers & lecturers), wanataaluma wengine, wapenda knowledge kwa ujumla pamoja na watu wa rika zote. So hata wazee...
Mkuu mbona ipo responsive kwa mobile devices. Umejaribu kubrowse kwa mobile? Hata hivyo by kesho TaalumaForums itaanza patikana kupitia Tapatalk app kwa wale watumiaji, na ntatoa update kuptia uzi huu huu.
Karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.