Search results

  1. Congo

    Aliyetoa amri ya kubandua plate number za 3D akapimwe akili

    Wakikuta namba zimefutika utatakiwa kununua mpya. Hizo namba za magari zipo kisheria. Na ndani ya sheria hakuna masuala ya 3D. Huwezi kuvunja sheria halafu unauliza maswali. Kama baada ya kutoa zimefutika kanunue plate number mpya.
  2. Congo

    Bodi ya Ushauri wa Hospitali Binafsi yazionya Hospitali Binafsi kutokupokea Wagonjwa Wa dharura na Kuwa Discharge Wagonjwa mahtuti

    Hospitali binafsi ziache uhuni. Kimsingi serikali yenye ndio ilianza kudekeza haya mambo baada ya wakwepa kodi wa kariakoo kutishia kufunga maduka. Ikamlazimu waziri mkuu kusimama masaa kadhaa akiwasikiliza. Wakatoa madai yaonwaendelee kukwepa kodi. Madawa yameteremka bei kutokana na sababu...
  3. Congo

    Kishimba, Msukuma, Tabasamu mnapotosha umma

    Nimewataja hao waheshimiwa wabunge wetu. Naheshimu ubunge wao. Lakini baadhi ya maneno yatokayo midomoni mwao yanaleta ukakasi. 1. Mtu atakuwaje mwalimu wa biashara wakati hana hata kiosk. Huu ni upotoshaji. Elimu ilianza bila kuandika mahali pppote. Maandishi yalippanza elimu ile ikaanza...
  4. Congo

    Je, BoT wamepunguza kutuma na kutoa hela kwenye simu kwa laini isiyo ya uwakala kutoka 20M mpaka 5M kwa siku?

    Inawezekana malalamiko ya kuibiwa yameripotiwa. Hivyo wanakusaidia kulinda hela zako. Nakumbuka kuna wakati ilikuwa inawezekana kulipia malipo ya serikali kwa online payments crdb Baadaye wakaacha baada ya malalamiko ya wizi kuwa mengi.
  5. Congo

    Tatizo la uhaba wa Dollar ni kubwa

    Wachina wanazisomba kama nini. Wanapeleka kwa. Rate imefika 2900.
  6. Congo

    Je, ni kweli kuwa Rostam aligoma kumpa mkono wa Salamu Jakaya Kikwete?

    Miaka ya nyuma sana. Baada ya vita ya Uganda. Kulikuwa na Jenerali Silas Mayunga. Akapelekwa kuwa Balozi Nigeria. Mseveni akaenda ziara Nigeria. Alipokuwa anawasalimia mabalozi hakuamini kumkuta Mayunga kule. Akamruka kumsalimia. Mayunga akaumia. Baadaye akamwita wakakaa muda mrefu akimuuliza...
  7. Congo

    Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

    Maamuzi ya ukubwa wa msiba ule yako chini ya rais. Huo msiba umefanya kisiasa. Ndio maana shughuli nzima imefanyika kiserikali serikali. Wakati wote serikali na chama hakuna mahali wananchi walipewa nafasi ya maana. Mnakumbuka Mengi alipokufa. Wananchi walikimbia njia nzima wakiusindikiza...
  8. Congo

    Je, kuna ubaya gani Serikali ikaruhusu sukari iagizwe kwa uhuru kama nguo Kariakoo?

    Uagizaji na usambazajinwa sukari una siri kubwa sana. Ni sawa kabisa na uagizaji wa mafuta. Kuna network ya walaji hapo kati huwezi amini. Ndio maana huwezi kwenda kichwa kichwa kununua sikari kiwandani. Na hutakaa usikie tangazo la kuomba mfanyabiashara awe msambazaji wa sukari. Gharama ya...
  9. Congo

    Mwanza: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA

    Ndoto za mchana. Wataongezeka lakini hawatafika 1/3
  10. Congo

    Mradi wa umeme utakaojengwa mto Malagarasi mkoa wa Kigoma

    Nakupa mfano mmoja ili uelewe ninachosema. Uwanja wa Uhuru una uwezo wa kujaza watu 20,000. Serikali iliposema inajengs uwanja wa Mkapa wa watu 60,000 nilijiuliza watu watatoka wapi. Cha ajabu umejengwa, watu wanajaa. Hilo bwawa la JNHEPP likianza kazi kwa kutoa mw 2300 wanazosema. Tusishangaa...
  11. Congo

    Dkt. Mpango amtabiria mtoto kukalia kiti cha Makamu wa Rais

    Wanaweza kuwa waongo lakini sema tu tofauti ya umri itamfanya isiwezekane. Wanasiasa hutengenezwa. Ndio maana unaona watoto wa viongozi ni wabunge na wengine mawaziri. Ni kwa sababu wako karibu na wazazi wao, kubebwa hata baada ya wazazi wa kufariki n.k. Mpango kasema hayo akiwepo, lakini...
  12. Congo

    Mtambue Chifu/Mtemi wako

    Wanzagi na ukoo wa Nyerere walikuwa machifu Watiama wa Butiama. Wazanani walikuwa na machifu wengi. Wako kama walivyo wachaga. Hakuna chifu mmoja wa wachaga.
  13. Congo

    Rais Mwinyi, tengua Amri haramu ya kwamba Wamasai hawaruhusiwi kutembea na fimbo na Sime Zanzibar. Inahatarisha Muungano!

    Wewe Yeriko Nyerere, hata ukiwa Rais na ukanda serikali lazima utaipinga tu serikali yako uliyoiunda. Kama Lisu, hata akiunda serikali ataipinga tu serikali. Fimbo za nini mjini? Kule tarime wakurya walikuwa wanatembea na sime, rungu na mapanga yakawa yanahatarisha amani. Serikali ikaona hapana...
  14. Congo

    Naomba msaada wa kisheria

    Kwenye deni ni kulipa. Ila kama umechelewa masharti ni wao kukuongezea tozo na kukufungia usidai tena. Mie wamewahi kunitumia tangazo la uongo kuwa natafutwa na polisi oystebay. Na mimi ikachakata wakaona niko polisi oysterbay. Na niko na fulani pale. Wakakaa kimya mpaka nilipolipa. Huwa...
  15. Congo

    Nawezaje tumia MB 490 Kwa wiki nzima

    Mie natumia 2GB kwa siku.
  16. Congo

    Wanaume wenzangu huwa mnarudi nyumbani saa ngapi?

    Nadhani hapo kuna dhana kuhusu matumizi ya muda. Fikra kichwani ni matumizi mabovu ya muda. Ndio kinachowatesa watu. Lakini hebu tuangalie haya. Una kazi umemaliza kazi saa 11. U akimbia kwenda kwenye kaduka kako, kanafunga saa 4 usiku. Unaaza kupiga hesabu zi balance saa nzima. Je, utarudi saa...
  17. Congo

    Hivi kuna nchi nyingine Waziri anafanya hivi, au ni Tanzania tu?

    Sahihi. Hata marais huwa wanaenda. Timu yantaifa ninmali ya taifa. Waziri kamili angestahili kwenda.
  18. Congo

    Mwijaku alishindwa nini kununua kiwanja kinachoendana na mipango yake ya ujenzi? Kampuni ya ujenzi ilishindwa kumshauri?

    Amekwambia amejenga kwa miezi 6 kwa hiyo aliikusanya mpaka ikafika kiasii hicho.
  19. Congo

    Mwijaku alishindwa nini kununua kiwanja kinachoendana na mipango yake ya ujenzi? Kampuni ya ujenzi ilishindwa kumshauri?

    Naungana na wewe na kusisitiza yafuatayo. Vijana wa sasa hata waze tunatakiwa kubadilika. Kujenga majumba makubwa sio ufahari. Mwisho wake huwa hayatumiki. Nenda mbezi beach kuna mijengo inaota nyasi na kupangishwa kwa hela ndogo ili walao kuwe na watu ndani. Kama kweli katumia 1.2bn (ingawa...
  20. Congo

    Inasikitisha unamtoa madarakani kisa ni dikteta unaingiza dikteta mwingine mamlakini

    Akiondoka vita vya wenyewe kwa wenyewe haviepukiki. Hata jirani yake akiondoka vita ya wenyewe kwa haviepukiki.
Back
Top Bottom