Utangulizi
EM.1®️ ni teknolojia iliyogunduliwa nchini Japan miaka ya 80. Imesajiliwa Tanzania na Kampuni ya Feedpro EMAx Limited mwaka 2018. EM ni kifupisho cha Effective microorganisms ambao ni mfumo wa vijidudu hai, salama kwa binadamu. Hii teknolojia inatumika kwenye nchi zaidi ya 110...
Hilo tangazo haliendi sawa na VAT inavyochajiwa. Huu hapa ni ufafanuzi sahihi na nimesha experience mabadiliko haya kwenye benki yangu.
Kama ulikuwa unakatwa shs 1,000 sasa utakatwa kama ifuatavyo:
Makato ya 1,000 hayatabadilika kwa benki.
1,000 = (100% -Vat rate *18%*.)
100%=1,000/82% =...
Mimi nauza gari siuzi sura ya gari. PM me if you need pictures and if you are serious buyer. Wakati mwingine inabidi tuokoe bandwidth za JF.
Namba nilikosea samahani. Nime ku PM namba ni 0756 446 468. Naona sikukuu ni nyingi Bongo wengine tulishafuta.
Thank you
Gari inauzwa aina ya Suzuki Escudo milango mitatu.
Ina usajili T991 ADQ
Mwaka: 1993
Iliingia Tanzania kutoka Japan 2004 na imetembea kilometa zipatazo 130,000.
Ipo katika hali nzuri sana na imekuwa inafanyiwa maintenance kila baada ya km 3,000 na rekodi za maintanance zipo.
Bei ni...
Jamani kama tunaweza kufahamishwa hiyo DECI ni nini na inamilikiwa na nani. Ina wafanyakazi wangapi na kuwa wanaivest wapi. Nadhali kwenye hili jamvi wapo wanahabari wengi wanaweza kufanya uchunguzi Watanzania tukapata kuhabarishwa. Napenda tu kusema kuwa the fact kwamba financial institutions...
Naona fikra za mzee ni CCM tu hakuna cha wananchi.
Mkuu Invisible hiyo audio naona kama haijafika kwisho kwa sababu imekatikia wakati anaelezea safari za Raisi Marekani na Mkutano wa IMF Dar.... Unaweza kuweka part 2 tukasikiliza na maswali aliyoulizwa na wanahabari? Thank You!
Mimi hawa watu wa nyumbu siwaelewi kabisa wanachofanya. Naona siasa siasa nyingi tu. Watoe data walipata kiasi gani cha hela wametengeneza magari mangapi na mipango yao ni ipi kwa siku za mbele walipa kodi tujue. Unajua kwa nchi nyingine kama Japani na Marekani vipuri vinatengenezwa na...
Mzee kazi nzuri..
Nina wazo kidogo. Kama unaweza kufanya pia ikawa inasomeka kwa Kiswahili kwenye maneno ambayo yanaonekana kwa kiingereza. Kumbuka kuangalia tunatarget watu ambao wataangalia television za kiswahili pia.
Vile vile kama unaweza kuweka background ya JF web labda mwishoni pale...
Hii video ni mbaya sana, lakini pengine ndio hali halisi ya kuua albinona iliyowakumba bibi wenye macho mekundu kule Shinyanga miaka ya karibuni huku Bongo ingawaje bado hatujapata live video yake kama hii. Sasa hii inatupa mwanga how serious matters can be.
Sasa nchi ina sheria, vijini na...
Watu wengi hawajui kuwa Osama ni propaganda za Wamarekani hasa Bush na utawala wake.
If you have time watch this http://www.afrovideo.org/play.php?vid=382
It will teach you a lot of lessons...it is long. If it doesnt work search You Tube "Zeitgest movie"
Thanks..nilidownload Zimbra sikuza nyuma lakini inaonekana ipo kwenye beta version kwa hiyo ilikuwa na complications nyingi sana. Niliachana nayo. Lakini uzuri wake wanasema kuwa unaweza kuandika na kuaccess mails bila hata ya internet...almost like outlook.
Hilo jengo nililiona Arusha kwa mara ya kwanza nikashangaa litakuwa na ghorofa ngapi kwa sababu lilikuwa linaenda juu tu. Halafu nikashangaa jengo kubwa namna hiyo mbona limejengwa kwenye kiwanja kidogo tu? lakini nafikiri limesimama muda mrefu na nilisikia wanasema eti linahusishwa na EPA sijui...
Mwanzo walitoa 30,000. Hiyo ni hesabu tunaifanyia accounting kwanza.
Chumba 25,000/- Baki 5,000. Then wakarudishiwa alfu 3. Zikabaki alfu 2 kwa mhudumu. Jumla 30,000.
Accounting Na.2
Kila mmoja ametoa 9,000 x 3 = 27,000.
Chumba ni Tshs 25,000 + Mhudumu anayo 2,000 = Jumla ni 27,000.
Hakuna...
Tunataka kujua pia na interest na mambo ya namna hiyo. Isije ikawa kama kampuni moja iliyokwisha kujadiliwa kuwa inawaumiza walimu kwa mikopo ya haraka haraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.