Search results

  1. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    sifungamani na upande wowote
  2. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    uhakiki bado unaendelea, watalipwa tu
  3. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Ushauri wao hautusaidii, kwasasa mradi wa Umeme wa Mto Rufiji uko ndani ya uwezo wetu
  4. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Rejea hoja yako ya awali kuhusiana na fedha zinazotumika kwenye uchaguzi. Hapo ndio nasema kwamba uchaguzi lazima ufanyike kwa gharama yoyote. Hili ni swala la kikatiba kupata wawakilishi wa wananchi. Luge na mwenzake Seth ni mojawapo ya watu wanaoendelea kuwajibishwa kwa uhujumu uchumi.
  5. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Lete hoja ya msingi acha bla bla
  6. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Hoja ya chaguzi sio ya msingi. Hilo ni jambo la kikatiba lazima chaguzi zifanyike. Swala la Escrow nadhani unakubaliana kabisa kwamba juhudi za Mh Rais za kuwawajibisha mafisadi zina lengo la kutatua changamoto hii ya wahujumu uchumi nchini.Kazi bado inaendelea kwahiyo ondoa hofu. Hakuna fisadi...
  7. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Kusikitika haisaidiii kitu. Lete hoja yako ya msingi.
  8. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Kwenye Mradi huu tunayo kila sababu ya kujiamini sisi wenyewe kwamba mradi huu ni muhimu kwa uchumi wa nchi yetu.
  9. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Jambo la msingi ni kwamba tunatakiwa kuzingatia maslahi ya Taifa kwanza kama wao wanavyoweza kutumia kila wawezalo kutetea maslahi ya mataifa yao. Tusikubali kuyumbishwa pale tunapofanya jambo lenye maslahi mapana kwa nchi.
  10. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Juhudi za Serikali ya awamu ya Tano katika kupambana na Ufisadi huwezi kuzifananisha na awamu zilizopita. Wahujumu uchumi sasa wanashughulikiwa, rasilimali za nchi sasa zinalindwa zaidi kuliko awali zilizopita na zinaanza kuwanufaisha wananchi wanyonge. Hili ndilo jambo la msingi, maslahi ya...
  11. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Sina uhakika na hiyo hoja.Lakini nadhani kutoa fedha mfuko wako wa kushoto na kuweka mfuko wako wa kulia hakuna athari yoyote. Bado zote ni pesa zako, yaani hazijatoka nje ya umiliki wako. Inakuwa shida pale inapohama umiliki, pale unapoipeleka ughaibuni kuhifadhiwa ama kuendeleza uchumi wa...
  12. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Huo ni mtizamo wake kwa uzoefu wake kazini hivyo siyo lazima ukubaliane nae. Jambo la msingi anafanya kwa maslahi ya Taifa la leo na la kesho
  13. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Sawa. Ukimaliza karibu
  14. Ufunguo

    Wazungu siyo watu wa kuaminika kwa 100%

    Uamuzi wa Bunge la Ujerumani juu ya Mradi wa Serikali ya Tanzania wa Stigler ni mojawapo tu ya vita vya kiuchumi ambavyo Mh Rais Magufuli husema kila siku. Hawa jamaa katika historia ya maendeleo yao wamefanya na wanaendelea kufanya mambo ya unyonyaji, unyanyasaji, ukandamizaji, uporaji wa...
  15. Ufunguo

    Kwanini Waafrika Tunahitaji Misaada tuko nje ya Bara letu?

    Kwasababu tumefungiwa kwenye box la chuma. Na kufuri zake zilishayeyushwa kwenye moto. Hilo ndilo jibu kwa kifupi na kwa ufasaha
  16. Ufunguo

    Arumeru: Mkutano wa Jerry Muro Umevunjika baada ya kumnyima diwani wao Elius Mungure asionge nawananchi wake

    Duh!, hizi taarifa ni nzito sana. Unao ushahidi wowote?. Hili sio jambo dogo, linahitaji uthibitisho.
  17. Ufunguo

    Siri ya Biashara ya Korosho Duniani Hii Hapa: Wanunuzi wa Korosho zetu wasituchezee akili

    Ubarikwe sana mtanzania mzalendo. Achana na hawa wapuuzi kazi kutoa mapovu tu kwa kila jambo
Back
Top Bottom