Hako ka shy sio kashushushu wala nini. Ni mzembe mmoja tu aliye na access na internet halaf hajui cha kuifanyia. Nahitaji 1 mo week kumtuliza, sasa hivi nafuatilia nyendo zake nilianza kipindi kile cha vurugu UDSM
Kuku anakwenda huku vifaranga vyake vikiwa ubavuni. Kuku huonekana kuwa na mawasiliano na vifaranga vyake. Mwewe akionekana, kuku atavihami vifaranga vyake. Lakini bata anatangulia mbele na kuacha vifaranga vyake vikimfuata nyuma, vifaranga havijui mama anakwenda wapi. Na mwewe akitokea...
Nasikitika sana ninapoona wachangiaji ninaowaamini kama Mama anaposema tuwaache kwa kuwa walienda kupokea t-shirt na kofia kwa Mafisadi. Hivi kama mzazi unawatoto 4 na 1 ni mlevi hivi ni sahihi kwa wale wengine wakija kuomba fedha za karo uwatimue eti wataenda kulewa?
Kwa hali ilivyo sasa hivi...
Ndio maana nilisema kwenye msafara wa mamba na kenge pia wapo sasa mama akawa mkali. Kila mwenye kutoa hoja ya kuwakandamiza wanafunzi atasema walifanya vurugu na kuvunja majengo. Ikumbukwe ule haukua mgomo bali ni kikundi cha "wanafunzi" wachache (hawazidi 50) waliokutana usiku wa manane...
Kwenye msafara wa Mamba sio kenge tu waliopo hata na mijusi pia hujiunga. Tusiwalauma WaUDSM wote kwa sababu ya wachache waliosapoti ufisadi na wanaoenda kupewa 5000 na Makamba ili wamwimbie Diamond
Labda amewahi kuwa dean lakini si UDSM. Idara aliyoiongoza ni REDET ambayo kila mtu anafahamu ipo kwa ajili ya nani. Na kwa taarifa sehemu kubwa ya wanafunzi hawamtaki huyu mtu kwa sababu analeta UCCM hapa chuoni.
Jamani eeh this is too much. Wanafunzi wameenda diamond lakini walioenda hawazidi 1000 na chuo kizima kina watu zaidi ya 10000. Na kwa taarifa na nina uhakikia kila mtu anafahamu kuwa Mukandara amewekwa pale na JK kwa manufaa ya chama kwa sababu wameshaona kuwa UDSM hawapati sapoti...
Jamani tuwe werevu kidogo hivi kama hapa JF inakuja hoja ya ufisadi na baadhi ya wanaJF wanaifagilia na kuwatetea mafisadi itakuwa sahihi kusema wanaJF wote hawana maana? UDSM kuna wanafunzi zaidi ya 10,000 sasa Makamba akija kuondoka na wake 1000 wanaotaka kupewa fulana na elfu tano-tano je...
Jamani hadi inafikia hatua ya kuomba msaada sio kwamba hatujajaribu njia nyingine. Labda tu ni kwamba aliyeomba msaada ameuwasilisha vibaya kwa kuomba msaada wa kugoma. Ila kama mahakamani hata katika uchaguzi wa mwaka jana tulijaribu kwenda mahakamani ila tarehe za kesi zilivyopangwa tukajua...
Nadhani nimejitahidi kuunganisha matukio kwa uzuri. Jamaa wamesimamishwa masomo kwa kile kinachodhaniwa ni
1. Kusema CCM wanafadhili kampeni za mgombea ambaye wanamtaka wao
2. Mgombea huyo kusema atafuatilia matumizi ya pesa za mradi wa MLIMANI CITY.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.