Sebo ni mkenya atakuwaje na uchungu na mtanzania,ametumwa na wakenya wenzie aje kupeleleza mashamba na viwanja ili tukiungana wawe na details za kutosha nina ushahidi katika hilo na hayupo peke yake.
duh we kweli dada tena dada poa,mtu yeyote anyeshabikia CCM ANA UPUNGUFU WA AKILI,MMESHUHUDIA,HUYO ANNA HATA ALIYEMUITA HILO JINA ALIJUA NI JANGA LA KITAIFA,ETI ANAULIZA ZA NN?HALAFU ANATOA ILI IWEJE,HIZO NI TABIA ZA DADA ZETU ,OOH MI SITAKI,MI SITAKI ,OOH SIJAWAHI KULALA NA MMWANAUME,OOOH...
cdm inakubalika sababu ya viongozi wake ni wapambanaji wa ukweli hawana kashfa za kuhujumu uchumi,ndio waanzlishi wa kupambana na ufisadi,mikataba feki,sera zao zina mashiku lastly 95% ya wabunge wake ni majembe,yaani wanaposimama kutoa au kutetea hoja wana fiti si sawa na magamba ebu angalia...
kha kwani kule kagera wale ng'ombe waliopigwa risasi jana,MR DHAIFU AMEANZA U DICTATOR,ANAJUA HANA JINSI LIWALO NA LIWE,ILA 2015 C MBALI,PANAPOTOKA MOSHI.......
NAMI NAENDA KUSALI NIMECHELEWA SANA LEO SABATO JUMAMOSI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.