Search results

  1. Katoma

    Vijana wa tanzania wamelala fofofo

    Kila kizazi cha mtanzania kina mashaka. A generation embodying apathy at its best.
  2. Katoma

    CALL FOR SUPPORT: To Build or not To Build - The Serengeti Highway saga

    Sababu kubwa watalii wanakuja Serengeti kutaka kuona 'natural wilderness' - zile nyasi, wanyama, and the endless plain. Mara nyingi watalii wanapenda kutembelea mbuga pasipokuwepo watalii wengine pembezoni (the feeling of being alone in the wilderness is priceless). Sasa msururu wa malori...
  3. Katoma

    CALL FOR SUPPORT: To Build or not To Build - The Serengeti Highway saga

    Yaani hiyo assessment imekaa kama majibu ya Civics homework ya sekondari.
  4. Katoma

    CALL FOR SUPPORT: To Build or not To Build - The Serengeti Highway saga

    It is sad to see that the campaign or any debate regarding this matter is initiated by people outside Tanzania. Stop the Serengeti Highway | Save The Serengeti
  5. Katoma

    Bilioni 50 zinazodaiwa kurudishwa BOT kumbe changa la macho

    na bado tunasaini mikopo ya World Bank. 40 Mil. USD for establishing mortgage financing system http://web.worldbank.org/WBSITE/EXTERNAL/PROJECTS/0,,contentMDK:22496066~menuPK:64282138~pagePK:41367~piPK:279616~theSitePK:40941,00.html
  6. Katoma

    English kozi (Video)

    YouTube- Bukom banku knows!! pt2
  7. Katoma

    Rhodes Scholar

    Prestige inatokana na kuwa na nafasi chache wakati maombi yanakuwa lukuki. Hii ndio inaifanya Rhodes Scholarship kuwa prestigious, even though the selection critieria of Fulbright scholars is at par to that of Rhodes. There are more scholarships awarded each year by the former (around 7000 each...
  8. Katoma

    Rhodes Scholar

    Hii kitu (Rhodes Scholarship) ni very plestijias. Huwa wanapewa (stipend) bumu la GB-Pound 950 kila mwezi, na ada zote za chuo cha Oxford zinalipiwa. What a comfortable way to earn a degree.
  9. Katoma

    Natafuta mfadhili

    gharama za uchapishaji TZ ni kiasi gani?
  10. Katoma

    Kitabu Gani uli-kisoma week hii?

    1. "History of the Bukoba District" by Hans Cory, 1959, Lake Printing Works, Mwanza. nimekuwa mpenzi wa kufahamu historia ya Tanzania, kwani ninadhani walimu wangu wa Historia shuleni hawakufanya kazi nzuri. Either curriculum ilikuwa mbovu au interest yangu kwenye somo ilikuwa ndogo. The latter...
  11. Katoma

    Tibaijuka Kumvaa Masilingi?

    Dr. Tibaijuka amekuwa mkuu wa UN-HABITAT tokea 2002. Office term huwa ni miaka minne, na alikuwa re-elected baada ya awamu yake ya kwanza. Kwahiyo mwaka huu 2010 term yake inaisha. Dr. Tibaijuka anahitajika nyumbani katika nyadhifa yeyote ile. Ninauhakika ataleta mabadiliko fulani.
  12. Katoma

    Alamba PhD akiwa na miaka 22

    Kuna mtu anaweza kutupatia background na stage iliyofikiwa mpaka kuzimwa kwa hicho kijiji kilichotaka kuanzishwa na marehemu Prof. Shayo? What were the setbacks? Tunaweza kufufua huo mpango.
  13. Katoma

    Dr. Emmanauel Nchimbi secondary school

    Nchi yetu watu kwa kupenda ujiko. Sasa kuweka title katika jina la institution ndio nini? Dr ya nini katika jina la shule? Itabidi basi hata shule nyingine zitangulizwe na titles, mf: Mr. Shaaban Robert Sec School, Mrs. Barbro Joha Sec School etc. Tanzania ukimu'address Profesa bila...
  14. Katoma

    Dr.Milton Mahanga afungua kesi dhidi ya Msemakweli

    1. Hivi nikirudi TZ na PhD yangu ni lazima niende TCU? Mimi nilidhani TCU inahusika na registration and accreditation of local Universities. PhD yangu inawahusu nini? 2. Back to Makongoro. Huyu mbunge amesoma CPA muda mrefu kuliko hiyo PhD, ukiangalia cv yake amepata CPA katika miaka 5, wakati...
  15. Katoma

    J Mutahangarwa: the first Tanzanian with a medical license

    yawezekana. Ila mara nyingi majina ya kihaya wanayotumia watu wengi kama "Surname" huwa sio majina yao ya ukoo, bali ni majina yao binafsi ya kilugha.
  16. Katoma

    J Mutahangarwa: the first Tanzanian with a medical license

    Ingependeza basi labda nawe ungetutajia fundi bomba, kondakta, mchuja nafaka, mpasua matofali wa kwanza alikuwa ni nani na alitokea wapi ili namimi niweze kuongeza 'neuronal connections' kwenye pande ya ubongo ninaporekodi historia ya Tanzania. I'm a very curious person, I hope you are too.
  17. Katoma

    The world's most powerful people

    Kikwete. Kusafiri kote huku si ni 'power' tosha tu?!!
  18. Katoma

    J Mutahangarwa: the first Tanzanian with a medical license

    Hicho kitabu kwa kweli sijui Dar utakipata wapi. Kwani nami pia ninakitafuta
  19. Katoma

    Bayume Husen; Mtanzania aliyeuwawa katika 'concentration camp' ya Hitler

    My avatar has nothing to do with my identity, so as my JF name. Kwa kutumia picha ya JFR kwangu mimi ndio kuonyesha heshima.
Back
Top Bottom