Polisi wasifikiri wananguvu sana,naomba niwakumbushe ya Burundi wakati aw utawala aw Watusi ,hawa waliamini risasi ndio mwarobaini ya wapinzani wao,lakini mambo yalibadulika pale chama cha siasa kilipoamua kutumia nguvu kulinda democrasia na Leo chama hicho pendwa kwa warundi kiko...
Ni kweli ni vibaya kutoka Siri za wateja aw makampuni ya simu,kwa wateja wazuri pekee,mtanzania umeongelea kuhusu wahalifu,sijui Kama unajua tafsiri ya neno wahalifu,hawa wanaoua Watu na kutesa na kutoka kucha sio wahalifu? Kina nchemba na kundi lake ni wahalifu pia,wanapaswa kuwekwa hadharani...
.
Usipende kumtendea mwenzako usilolipenda kutendewa wewe, unaijua kesho?Mimi na wewe wote hatuna ukweli wa jjambo hili, TUmwombe sana MUNGU hatuwajui kesho
HIV wewe umezoea kujiunga vita baa vya kijana, Kofia na Mashati?unaonekana hujaelemika? Umetumwa kuhesabu Bendera Na CCM nn?harafu unasema umezunguka ntakupa pole sana na jua na uchovu ulionao, wambie wakutafutie gari au Bajaji likusaidie kupunguza.Unaonekana Umetumwa !!!!!!!
Acha ujinga dogo...
Aisee mpe aelewe, asidhani kwa Kuwa bendera hakuna na Chadema hakun,hebu karibu kupinga Makoroboi na bendera yako ya Ccm uonyeshwe kazi,Ndiyo utaijua Mwanza ukoje. Umetumwa na ANNA Spika nn?
HIV umemgundua huwa pale Madhabauni kwake harusi muhubiri mwingine?waungwana nisaidieni,ukienda kanisani au msikitini wahubiri utawakuta tofauti wakihubiri neno la Mungu wakati tofauti.Lkn kwa mzee aw MITINDO sijawahi ona,ndio kusema anamjua sn Mungu? Kitu ambocho ananishangaza zaidi ameanza...
Jamani naombeni kufahamishwa,kwa wale mliopitia kwenye kamati za kampeni,kwa jimbo lenye vijiji 110 na kata 26-gharama kiasi gain itahitajika ili kufanikisha kampeni kwa mgombea ubunge kwa kima cha chini kabisa,na gharama hizo zimegawanyika vipi? Yaani muundo wake wa bajeti ukoje.Hiyo itasaidia...
Ha ha haaaaaa.Unakwenda mbali sana kuna familia zimebalikiwa na uongozi pia ni Karama kutoka kwa Mungu. Na Wazazi nao watuombee watoto wao mzuri. That family bless by God from the begining.
Aise jamaa a natafuta umaarufu kwa nguvu hivi? Kwa nini hakaribishi wachungaji wenzake wapande Madhabauni kwake wahubiri?au ndo kusema yeye anamjua sana Mungu? Au akaenda mikva mwingine ya tanzania au waliookoka wapo Dar tu? Ona sasa alivyoumbuka inabidi juu ya Kenya
Mimi na with Mzee aw...
Hawa jamaa wamekomaa kisiasa, ingekuwa Tanzania yetu jamaa wa Magamba hawakubali kushindwa hata kama wameshindwa.Wakenya Hongereni sana kwa kupata kiongozi Mpya.Kwa upande mwingine Hongera sana 4th President, KENYATTA in KENYa
Hakuna uchaga wala ukabila,kwa taarifa yako Kanda ya ziwa ndo ngome ya CDM na wala sio moshi wala Arusha,angalia takwimu ya matokeo ya uchaguzi mkuu,isingekuwa kifo cha Shelembi na Ushindi wa kura moja ya masele.uchaguzi ungerudiwa kwa dhuluma ya CCM pale shy town--angalia idadi ya wabunge wana...
Mateso makubwa kwa wana shinyanga vijijini ,hakuna hata Huduma ya maji kwenye zahanati achilia mbali madawa na vifaa vingine vya tiba ikiwemo vipimo,usione hivyo tu,wilaya Hiyo haina hata hospitali ya wilaya,Huku mbunge mwarabu akijidai kuwaletea maendeleo wasukuma aw vijijini shy.tunasikia CDMA...
Jamani mbona swali rahisi sana?unaanzaje kumchunguza Tabia Kama hujampenda? Sura na umbile vinakuvuta Kama demu huwezi tofautisha mbele na nyuma huwezi chunguza,sema uzuri Kati ya mtu na mtu hutofautiana,Kwangu mzuri kwake mbovu,Kwako mzuri Kwangu mbovu.
Asante baba mtikila,unayosema ni kweli tupu Mimi Nipo hukuhuku yaani Rwana-urundi Kama zilivyoitwa kabla ya Uhuru.watusi si Watu hata kidogo na vita itarudi tu katika maeneo haya muda si mrefu coz wahatu Hadi muda huu ni Wengi zaidi ya Watusi na hawakubali tena Kuwa watumwa,Kama ingabire...
Lara1,hamna wa hivyo ndio wazuri kuoa coz anatoa nae mawazo yake Kama mchango wake kwenye familia.lakini baba Kama baba unaweza kuyachukua AMA kuyakataa kulingana na unyeti aw jambo husika,mambo yakiharibika wa kuulizwa ni wewe,Kama hakuna msosi wala Ada za watoto ni wewe,nyumba mbovu ni wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.