Wakuu,
Ningependa kujua all time top player wa Tanzania maana nasikia majina tu wakina Lunyamila,Kizota,Manara nk. kwa mlio washuhudia nani alikuwa the best??
wakuu nimeiona trailer ya gta somalia siku nyingi you tube kama kweli rock star watashusha huo mzigo 2014 ni idea nzuri sana.hawa watu wanaweza aisee kwangu mimi ni the best kwenye mission games ebu tushirikishane kama kuna kali zaidi
Habari zenu wakuu.Nilikuwa nauliza kwa yeyote mwenye maujanja ya kuisimamisha last seen ya whatsapp isi fanye kazi .nimejaribu ku google na kupata application tofauti tofauti sijafanikiwa.
nashukuruu wakuu mimi nina zote na pia huwa nacheza zote nipo katikati sijui ipi ni bora.kila moja ina uzuri wake ila kwenye pes mimi mzuri zaidi kama utahitaji kupata challenges naomba uni pm bado sijapata mpinzani kwa.hapa dar es.salaam
speed zote ni sawa.ila kinachotekea hapo nikwamba magari makubwa mengi kwa mfano yenye top speed ya 120 km/hr huwa yanatabia ya ku over speed wakati gari limefikia top speed kinachokuwa displayed apo kwenye dash board sio actual speed ya io gari inayotembea nayo haswa kwenye miteremko mikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.