Jamani napenda kuuliza, mbona NACTE waliruhusu waombaji sekta ya afya tu na sayansi je wale ambao wanataka kusoma masomo ya biashara na ualimu maombi ya vyuo yanafanyikaje?
Mwalimu nae amefundishwa na mwalimu wake kama yeye mwenyewe,anaeongea kiswahili hivyo hivyo ila akimfundisha kiingereza kwahiyo nae kwakuwa ni mwalimu ambae hapo kabla aliona mwalimu wake alivyokuwa anaishi nae ameamua kuishi hivyo hivyo! Tofauti na madaktari,hata kumtajia tu mwenzie panadol...
Wewe bila shaka hukumuelewa bwana Kassim Majaliwa,yeye alikuwa anaongelea wale walimu wa sayansi wanaosoma UDOM special program kuziba pengo la upungufu wa walimu na sio ajira ya walimu wote
Kwa lugha yetu hili ni la msingi sana kwanza kuiheshimu,kuithamini na kujivunia nayo pia,ila shida ni kwamba lugha ya kiswahili itakuwa na changamoto sana kupokea misamiati ya baadhi ya masomo hasa ya sayansi kwakuwa haina misamiati ya kutosha. Hii italazimu kugeuza maneno ya kisayansi ya...
Hapo wakimaliza itabidi wasome Kiswahili course angalau kwa miezi minne hivi,tena baadae kiswahili kitapotea nchini!
Kwa mawazo yangu naona ni heri iwe kiswahili tu toka chekechea mpaka chuo kikuu tu ili tukithamanishe kiswahili chetu kama lugha tunayoikubali wenyewe
Samahani wapendwa,mimi ni mwalimu nimeajiliwa ajira mpya za 2014 natafuta wa kubadilishana nae kituo cha kazi,yeye aje KWIMBA MWANZA mimi niende SONGEA RUVÙMA. Kama yupo naomba ajitokeze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.