Search results

  1. Mapambano Yetu

    Vitambulisho vya NIDA vinaandaliwa wapi? Watanzania tumeshindwa na hili?

    Nimemsikiliza VIZURI waziri wa mambo ya Ndani wakati akitolea maelezo suala la VITAMBULISHO VYA TAIFA kuchelewa. Lakini katika maelezo yake nimebaini kwamba Kuna uwezekano hata VITAMBULISHO tuligawa tenda kwa makampuni ya nje. Sasa Je, watanzania na hili tunashindwa?
  2. Mapambano Yetu

    Somo la TEHAMA linafundishwa shule za Msingi, kwa nini Sekondari halifundishwi?

    Hapa kuna mkang'anyiko wa Malengo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Shule za Msingi wanafunzi wanafundishwa somo la TEHAMA. Angalau nadharia wanayotoka nayo huko Msingi ingeliendelezwa pale wanapofika Sekondari lakini ukweli ni kwamba Shule nyingi za Sekondari, hasa za SERIKALI hakuna...
  3. Mapambano Yetu

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Kichwa cha habari chahusika, Napendekeza mishahara yao ipunguzwe kwa kuwaondolea mambo yafuatayo: 1. Transport allowances, hii ni zaidi ya million 8 ambayo ni posho kwaajili ya kutembelea jimbo, mafuta, nk 2. Mfuko wa jimbo Hii ni kutokana na mlipuko ulioikumba dunia kwa sasa. Napendekeza...
  4. Mapambano Yetu

    Happy Birthday CCM, Tunawashukuru kwa mema yote mliyolitendea taifa ikiwemo kuukubali mfumo wa vyama vingi!

    Happy birthday CCM Mkitoa vitisho vya mauaji tafsiri yake inabadilishwa na kufanywa mauaji ya kisiasa. Lkn wengine hata wakitoa kejeri tu kwenu, TISS, POLISI, JW, wote wanawavamia kama magaidi. Mtu akiwakosoa nyinyi pamoja na serikali yenu, mnamfungulia kesi ya Utakatishaji. Kwa haya...
  5. Mapambano Yetu

    CHADEMA sasa kataeni uonevu huu kwa Vitendo. Maxence Melo hauko salama, ona unavyojadiliwa

    Nianze kwa kutoa wito kwa viongozi wa CHADEMA kukataa uonevu kwa vitendo. Ushauri wangu ni kwamba: 1. Mkifuatiliwa na magari ambayo yanautata, toeni taarifa Polisi wasipojibu au kuchukua hatua kwa haraka, tumieni kila njia angalau hata gari moja inayowafuatilia ichomwe moto. Hakikisha muwe na...
  6. Mapambano Yetu

    Watu wote Waliotajwa na Musiba kwamba wanamkosoa Magufuli Wameshatekwa, je nani anahusika

    Ni maoni yangu tu maana huyu jamaa anajifanya kuwa master plan wa wasiojulikana. Akitaja mtu, then huyo mtu akapotea au kutekwa, watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza msiba amrudiashe Mwingine ni Mambosasa, huyu naye akiendelea kutumika kinyuma na katiba ya nchi, na ikatokea mtu ametekwa...
  7. Mapambano Yetu

    CHADEMA anzisheni vyombo vya habari. Huu sio wakati wa kulalamika

    Kati ya mambo ya msingi ambayo tanakifanya chama kurudi nyuma ni kutokuwa na vyombo vya habari vya chama. Siamini CHADEMA kama taasisi wanashindwa kuwa na vyombo vyao vya habari. Wanachama tuko tayari kushiriki uchangiaji ilimradi mtuhakikishie kuanzisha Television na Redio ya chama. 2020...
  8. Mapambano Yetu

    CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

    DAB hajawahi kuwa na fikra pevu. Kuna ka msemo kuwa "ukizoea kunywa utumbo, u sitegemee kuongea point" mkurugenzi tunamwonea bure. Tangu lini mkurugenzi akatoa amri kwa Polisi? Wahusika wapo, yeye kakurupushwa tu.
  9. Mapambano Yetu

    Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

    Hapo msajili wa vyama vya siasa hawezi kutia neno. Anasubiri wafuasi wakatae uonevu ili atoe barua ya onyo kwa chadema. Viongozi wa dini nao wanashihudia kinachoendelea lkn wako kimya. Ngoja tusubiri kuona dini na madhehebu yake watatuma wawakilishi wa aina gani maana siku hizi nao wameshaunga...
  10. Mapambano Yetu

    UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

    Kuna account ya Makonda JF? Kwenye matukio ya aina hii hawezi kujitokeza.
  11. Mapambano Yetu

    Msajili wa vyama vya Siasa hawa umri unawaruhusu?

    Nadhani kwa vile wahusika ni makada wenzio huwezi toa neno bali utasubiri mpaka upande wa pili nao ufanye hivyo kama ilivyokuwa kwenye makamanda
  12. Mapambano Yetu

    Neno la Leo - Kirusi cha ‘kupumbazwa’

    Kwenye Sampuli umemsahau Dr Bashiru
  13. Mapambano Yetu

    Tafakuri ya Faizafoxy 5: Mtego wa panya, Rushwa, Ufisadi, Siasa, Uchumi, vimenasa vyote?

    Mengine yanaumiza vichwa. Ni sahihi kwa maendeleo yanayofanyika kwa awamu hii tano. Tatizo kubwa linalotukumba watanzania ni MISSION & VISION kila kiongozi anataka afanye au aendeleze anayoyataka yeye. Hata kama mtangulizi wa aliyepo alikuwa na Dira na Maono mazuri kwaajili ya baadae lakini...
  14. Mapambano Yetu

    Vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wawashauri waliokuwa wagombea waandike barua ya kujitoa rasmi

    Kwa maigizo ya serikali inayoongozwa na CCM sitashangaa kusikia kuwa kila atayeandika barua ya kujitoa atafikishiwa rumande kwa tuhuma za uchochezi. Na pengine wakashindwa kuwasilisha barua zao kwani wasimamizi wanaweza kutumia mbinu ile ile ya kuzikimbia ofisi zao kama ilivyokuwa kwenye kutoa fomu.
Back
Top Bottom