Ukiwaangalia siasa zinazoendelea nchini Kenya kuhusu bei ya Gunia (90 kg) ...wakulima wanataka walipwe sh 3,640 kwa gunia na wanalalamika kwamba kwa sasa wana mahindi mengi sana plus kwamba 2022 wana uchaguzi basi wakulima wamewakamata wana siasa
Sasa upo uwezekano wa serikali yao kutumia njia...
Kaka yangu Mayalla kuna yale maswali aliwahi kuuliza pale ikulu ...sasa yale maswali yamegeuka kuwa Mzigo kwake ... kila akiyakumbuka anawaza aje na andiko lipi la kufuta yale Maswali
Mimi nafikiri kwa sasa kaka yangu Pascal Mayalla ..Tulia ... naona ili hata kujiweka sana uligombea Ubunge...
Nawasalimu wana Jamiiforums
Nimeona ni Busara kutoa ufafanuzi hapa jukwaani na kuweka kumbukumbu sawa katika jambo hili la ujenzi wa stand ya Mbezi Luis, Mradi huo ulikuwa na thamani ya sh 51 billion na mkata huo ulisainiwa mwaka Jana 2019 February, Mradi huu ungepaswa kukamilika July 15, 2020...
Siasa zimebadilika sana na nyakati hizi nawaona wananchi ni kama wanamaanisha sana kutokana na hali halisi …. ukiangalia Maisha ya miaka ya 1990 kuelekea 2000 huwezi kulinganisha na sasa ...bado ajila zilikuwepo kwa kiasi chake … sasa acha tuone , huko tuendako napaona pakiwa na shughuli kubwa...
Huyu Sarah Martin Simbaulanga hivi alimaliza kifungo chake ? Maana ni mwanamke wa kwanza Tanzania kusikika kwenye vyombo vya habari kwa zaidi mwezi ...Mama aligoma sana
Kilikuwa ni kipindi kigumu sana. ...wakati katibu wetu Dr. Slaa anatuacha. ..hatukujua kama tungefika hapa. ..ukiangalia mzee Lipumba naye alikuwa amejiachia. ...kwa sasa siasa zimebadilika sana. ..Daktari ni lazima ajue zama zimebadilika sana...
Ndiyo, na mimi pia nawapongeza waanzilishi ...na mimi nilifika humu muda kitambo sana. ..wengine wwenu tumepata uzoefu mwingi kupitia mtandao huu, sijui yuko wapi mzee mwanakijiji ...
Sitamsahau mtu mmoja alikuwa anajiita wa 16 sitamsahau
Ninasikitika kwamba jimbo la kigoma mjini chadema watashinda..... Hii imetokana na utafiti uliofanywa na Gft....
Imeoneshwa kwamba jimbo hilo siasa zinaendeshwa kidini... Hapa namaanisha kwamba kura za Kaburu (ccm) ambaye ni mwislam na ndugu yangu Zitto hazitaongezeka.... Zinabeba zaidi kura...
Mtoi hili la uwanzishaji wa kanda ndiyo kigingi cha utawala wa CCM ...kura Rais zitajulikana usiku ule ule....
Lakini leo tunaona Dr.Slaa anapata watu wengi wengi kwenye mikutano yake.... ni kwa sababu chama kimeimarika kule majimboni
Hebu tujiulize kidogo...hivi 2010 hali ilikuwaje...
Kwa jinsi hali inavyokwenda hii mikoa inakwenda kufanya vizuri... Kagera..simiyu...shinyanga...Mara....Mwanza....Geita...Manyara....Ruvuma....Rukwa...Morogoro...Mbeya,
Kamati kuu chadema ilifanya maamuzi mazuri kuigawa Tanzania kikanda... Ccm watarajie wasichokijua
Kwa sasa kanda...
CCM wanajua kwamba UKAWA wamepata more 39.78% ...sasa pale mwanzoni ccm walijaribu kupika data kwa kusema ukawa wameshinda kwa 16%... Wakaona single haiuzi....wakasema 25% wakaona haiuzi...tamisemi ghafla wakageuka wakawa mabubu
Kwa maana ya kulisaidia jukwaa hili tutaweka hapa matokeo ya...
Hili la Lowasa ndani ya ccm ni kitendawili... sandakalawe! Amina! Mwenye kupata! Apate...... Ccm kipindi hiki cha miezi 5 watapitia kipindi kigumu sana... wanajaribu kutaka kupenya kwa kukwepa makundi..... lakini kila kukicha mwanya unaongezeka . Na hili la serikali za mitaa na vijiji...
Nani kapata 25%? na nani kapata 75%? Ukiwa hulijui jambo uliza usaidiwe ......Kuna watu wameichukulia kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar er salaam bw. Meck Sadick kama ndiyo over .......yale ni natokeo ya mkoa wake tuu ndani ya majimbo 8 tu, ndiyo ccm imepata 75% tutayaweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.