Jamani nimesema nauliza, na nilicho kuwa najua ni ile UTI ya watoto na ninajua kwanini hutokea. hata kwa watu wazima najua inaweza kutokea kwa sababu nyingine hata kama zile za watoto. lakini pamoja na hayo naulizia kupana upana, tusikatae wakati kuna watu wanapata UTI kwa kupitia mahusiano...
In young sexually active women, sexual activity is the cause of 75–90% of bladder infections, with the risk of infection related to the frequency of sex.[1] The term "honeymoon cystitis" has been applied to this phenomenon of frequent UTIs during early marriage
Wakuu hivi kunauhusiano wowote kati ya UTI kwa wanawake na kufanya mapenzi. Ktk kutafuta tafuta nasoma kuwa wanawake wakubwa (achana na watoto) wanaweza kupata haka kaugonjwa baada ya kufanya mapenzi.
Nisaidieni jamani maana baada ya kumdadisi rafiki yangu ameniambia kuwa anaumwa UTI wakati...
Jamani muda si mrefu nilipata kujuana na dada mmoja, lakini kadri siku sinavyo enda nahisi mabo yanabadilika na kunifanay nisijue la kufanya nisije fanay makosa. Huyu dada kwanza ameanza kunipia heshima tofauti na mwanzo, pia nikiwa na tatizo anataka alitatue hata kwa gharama yoyote. Vitu vyake...
Mkuu nasikitika kwa muda ulio upoteza kutuletea madudu hapa jamii forums. Kama wewe ni mfanyakazi wa TCU twambie tujue mapema maana sote tumesha jua CCM na ninyi lenu ni moja , nina maana kazi imewashinda. Tumewavumilia vyakutosha, uzalendo karibu unatushinda. Msituone mazuzu kiasi cha...
Hii mbona kama danganya toto na kutuona sisi kama mazuzu. mimi mwenyewe nipo admitted. Inavyonekana hawapo makini na wanacho tufanyia ni kubuy our time. Mficha magonjwa siku ataumbuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.