Wakuu sijui kama haijaeleweka naona maswali ya namna ya kujisajili yankua mengi ni
reg*aina ya simu yako*modeli yake*imei number hakuna kuacha nafasi. tumia mfano
huu.
reg*samsung*galaxy*350252563365348
Note: imei ni digit 15 na unaweza iona kwa kupiga *#06#
naomba refer post number 1 &5...
Swali la mwisho: Unaweza kijisajili mara ngapi
Kama tulivyosema tangu awali lengo la kujisajili ni kuilinda simu yako uweze kupata warrant stahiki
ama mwenye simu aweze kupatikana kirahisi pale simu inpopotea na faida nyinginezo. hivyo kujisajili ni mara moja tu
isipokua unamuuzia simu yako mtu...
Kuhusu Zawadi,
Ni kweli tutakua na zawadi tatu kila mwezi ambazo zinaweza kuwa ni simu ama fedha taslimu kama itakavyoamuliwa. ikumbukwe pia zawadi kama ni simu itakua brand uliyosajili, yaani kama umesajili Blackbery basi zawadi ya simu itakuwa ni blackbery ambayo thamani yake ni kubwa kuliko...
Kuhusu aina ya simu
Mfumo wetu ni kwa ajili ya simu zote yaani Nokia, Sumsum, Techno, Blackbery, HTC etc hakikisha tu wakati unaandika
ujumbe useme aina ya simu unliyonayo. Kama ni Nokia Music express, Blackbery Bold, HTC chacha n.k na ujumbe utakaopata utakujulisha aina ya simu uliyoregister
kuhusu reply
Unapotuma ujumbe reg*Nokia*N95*74747474748583 ama sajili*nokia*Ringo*26354785889987556 kwenda kwenye number 15568 utapata ujumbe kukutaarifu ombi lako limepokelewa.
Kuhusu nafasi kati ya neno moja na jingini
Mfumo wetu unatenganishwa na nyota bila kuacha nafasi yaaani reg*blackbery*9700*123456789876543 kisha unatuma kwenda 15568
Kwa faida ya wote,
waliotutumia pamoja na kujibu email zenu tunapenda kutoa baadahi ya ufafanuzi hapa.
Swali kuhusu Warranty. Tunachofanya ni kuhifadhi kumbukumbu ya lini warrant yko inaanza na lini inaisha na jinsi ya kufanya kudhibitish hilo andika reg(nyota)aina ya simu(nyota)modeli ya...
Ndugu Watanzani
Karibuni kwenye huduma yetu mpya ya kuhifadhi udhamini (warranty) za simu. Wadau wengi wamekuwa wakinunua simu na kupewa udhamini wa muda fulani wa simu zao. Ila pindi wakipoteza stakabadhi ama kadi za udhamini (warrant card), Inakua ngumu kufanya marejeo ya muda wa ukomo wa...
Mkuu Kichakoro,
Tunatarajia kutoa press release kila miezi 3 na kama kutakua na cases nyingi everymonth. Lakini pia tutashauriana na Regulator wa simu namna bora ya kufanya ili public iweze kupata right information. Pia tunatarjia kuwa na website ama blog ambayo itakua inaonyesha hata picha ya...
Kumekuwa na ongezeko kubwa la simu zisizokidhi viwango vya ubora hivyo
kusababisha majanga (ajali) wakati wa matumizi wa simu hizo.
Je umewahi kununua simu ukapatwa na tatizo kama kulipuka ikiwa mfukoni
kwenye charger ama wakati wa kupokea simu, n.k?
Tufahamishe ni simu aina gani, model gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.